Mwana JF maarufu ni yupi?

Kunde ekeke yuko wapi.wapi Mzizi Mkavu. Faiza fox mtetezi wa wale wa imani ile. Islamabad mtetezi wa wahaya na kagera nzima. Wyatt matthewson? wa ughaibuni (huyu ana lugha kali ukimchanganya). Ruttashobolwa mtetezi wa kijani
 
Mkuu unajulikana had mitaan

Nimekuta juzi maostaz wanakuzungumzia

Sema juzi ulikimbia uzi wangu
Maostaz gani tena hao?

Uzi wako sijaukimbia, na mimi sina tabia ya kukimbia uzi, na siwezi kuanza ukubwani tabia hiyo, labda tumepishana tu.

Uko wapi uzi unaosema nimeukimbia?
 
Usiwe na hofu na mimi.

Mimi ni miongoni mwa binadamu wachache walio katika hatari ya kupotea duniani.

Kwahiyo inaweza kuchukua miaka zaidi ya milioni 4 kupatikana mtu mwema kama mimi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseee...haya Kaka viatu vya samaki
 
[emoji38][emoji38][emoji120][emoji120][emoji120][emoji123][emoji123][emoji123][emoji109][emoji117]
 
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…