Ngoja aje akupe jibu moja hilo kwakweli litakutosha peke ako mie sikusaidii.muambie kama bahili aoe Dada ake[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
hakuna jipya chini ya jua[emoji125] [emoji125]Ngoja aje akupe jibu moja hilo kwakweli litakutosha peke ako mie sikusaidii.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ah! Wee si shangazi yake na Mama Maria Theresa wewe!! Mi mtu akinizingua nampa first warning, nimempenda sana second warning lakini ikiwa warning itamvimbisha kichwa najiandaa kwa ban!Hahahaaa!! Hamna bwana na upole ule!! Muulize hata chige[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Nyodo maana yake ni nyundo..nipo tayari kusahihishwa na watu wa baraza la kiswahili Tanzania.Nyodo ni nn
Hahahaaaa!! Eti shangazi yake nani?Ah! Wee si shangazi yake na Mama Maria Theresa wewe!! Mi mtu akinizingua nampa first warning, nimempenda sana second warning lakini ikiwa warning itamvimbisha kichwa najiandaa kwa ban!
Ila walikuwa wakorofi na wachokozi hao!!! Hatupumui muda wete wanashinda kwetu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ila mods walikuwa wanazingua sana.
Sasa wakija wale wa upande mwingine ilikuwa balaa sana. Back those days
Mmenikumbusha mbaliiiiiiWalikuwa wanaboa sana. Ila cute b ban zilimuandama sana.
Pwilo
Peterchoka
Diva Beyonce
Nifah
Avemaria
Na wengine wengi
Kitambo sana. Ndo kapotea kabisa humu maana sijamuona mda mrefu sana.Mmenikumbusha mbaliiiiii
Avemaria mpaka akajitoa JF jamani!
Nililiaaaa maana kumbe alinicheki PM kuniaga week moja kabla na mimi nilikuwa busy sikuingia JF zaidi ya week.
Dah!
Hahahaaaa!! Eti shangazi yake nani?
Yaani acha kabisa, i miss thoz grt dayz, siku ikipita haujaingia jf unahisi kuumwa.Mmenikumbusha mbaliiiiii
Avemaria mpaka akajitoa JF jamani!
Nililiaaaa maana kumbe alinicheki PM kuniaga week moja kabla na mimi nilikuwa busy sikuingia JF zaidi ya week.
Dah!