Mwana JF Mwenye Nyodo Vs Busara

Kwani BIGMIND vipi hayuko poa[emoji15] [emoji15] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] ??
 
Oooh kumbe!! Basi nikomaze wewe tu.
Afadhali... mimi tu! Kwahiyo ukishakuwa akubwa au tayari ushakuwa akubwa sema pale mwanzoni kusema bado ni atoto ilikuwa ni yale mambo ya kujing'ata ng'ata vidole tu?!
 
Afadhali... mimi tu! Kwahiyo ukishakuwa akubwa au tayari ushakuwa akubwa sema pale mwanzoni kusema bado ni atoto ilikuwa ni yale mambo ya kujing'ata ng'ata vidole tu?!
Bado sijakua, ndio nataka unikuze.
 
Basi sawa atoto wangu ili mradi tu sio hiyo kesho inafika unasema bado masaa 7 kuwa akubwa!
Walaaaa! Tena ondoa hofu, hakika kesho itakuwa njema.
 
General Galadudu... Huyu jamaa ana busara sana!! Sijui kapotelea wapi siku hizi.. Much respect kwako Jenerali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…