BIGstallion
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 6,324
- 7,913
Sasa kama yumo umu akusaidiej manake chance umepata kuitumia sasa iweje,..?
ndo umeweka msisitizo au..!!!Nilimsalimu mkuu. Alivyojibu kwa msingingi wa verbalna non verbal communication nikaona asingeqeza toa ushirikiano
hahahaaando umeweka msisitizo au..!!!
hahahaaa
Hahahaha, we njoo PM rafikiNaomba unipe kirefu cha kbt ili Niki inbobo
Basi kwa maana ipi, Dala dala? Siti ya tatu kuanzia wapi ulikaa Jovitha?Ingekuwa ni kweny bus ningehisi ni mm,,, lkn mm nilikaa siti ya tatu
Hahaha mkuu ilikuwa ngumu kufanya hivyo zaidi alikuwa ametazama Profile ya joanahFIKRA ZA HARAKA.
Ulishindwa hata kuangalia uzi aliokua anachat ukaukariri na comment zake ukatumia hizo kumfuata PM tena hata hapo hapo, kwa akili hio tuu angekubali ww n sheedah ungesha chukua point zaid ya 50%.
unakuja kutezeza humu mzee?
ikuwa busy mkuu isivyo kifaniSs si ungejitambulisha kwake
Mdomo umemeza chura mzee?
Mkali kinomaa yaani( yule ni mzuri sio mrembo kwa kweli)Tupiamo kapicha basi.
Usikrem kla mhasib ana hela,,,inategemea n mhasib w nn na wa wap🙂Hao uliowataja wako njema. Hawapandi daladala, wana watu wao wenye pesa ka za mhasibu.
Ohooo......[emoji87]Ingekuwa ni kweny bus ningehisi ni mm,,, lkn mm nilikaa siti ya tatu
Mkuu....FIKRA ZA HARAKA.
Ulishindwa hata kuangalia uzi aliokua anachat ukaukariri na comment zake ukatumia hizo kumfuata PM tena hata hapo hapo, kwa akili hio tuu angekubali ww n sheedah ungesha chukua point zaid ya 50%.
unakuja kutezeza humu mzee?