Usijali Mkuu Tunapoenda Tutapata Mtawala Mwenye Sera Nzuri Za Michezo. Sasa Waziri Mwenyewe Ni Mwakyembe.Natamani sana nione mchezo huo pia ukipiga hatua nchini....Hashim Thabet aliishia wapi...
Waziri hawezi kuwa kikwazo kufikia malengo......huku chini tunafanya nini kuleta mafanikio ya mchezo huo.Chama cha mchezo huo na viongozi wake wanafanya nini.Tusiingize siasa ktk michezo hatutafanikiwaUsijali Mkuu Tunapoenda Tutapata Mtawala Mwenye Sera Nzuri Za Michezo. Sasa Waziri Mwenyewe Ni Mwakyembe.
Ahsante... Both wanawake na wanaume,, hadi mashoga zangu huniambia Byongo hzo lips[emoji5] [emoji5] ... Me najikubali kua na tabasamu la kumtoa nyoka pangoni [emoji12] [emoji12] ..Good na hongera kwa hizo sifa za lips................na wewe unazionaje lips zako? na hao wengi wanaokuambia ni wanawake au wanaume?
Mbona inatishaaaHahahaa yangu inajieleza wenyewe
AiseeMi ya kwangu inawakilisha shithole country ambayo mtu mmoja anafanya kuvunja katiba makusudi Na watu zaidi ya 50 wakimshangilia mvunja katiba, ilhali aliapa kuilinda Na kuikheshimu
aah basi tuKwanini mkuu?