Mwana JF unaweza kueleza maana ya avatar yako?

Avatar nimeweka pengine haionekani ,lakini Mimi nikigusa kwenye vile vimistari vitatu juu kulia naiona pamoja na ID. Sasa sijui tatizo nini
Mbona avatar yako inaonekana ...ni picha ya Patrice Lumumba wa Zaire ya zamani sasa DRC au siyo hiyo maana ndiyo nayoiona hapa.
 
Mbona avatar yako inaonekana ...ni picha ya Patrice Lumumba wa Zaire ya zamani sasa DRC au siyo hiyo maana ndiyo nayoiona hapa.
Ndio mkuu avatar yangu inaonekana.

Tatizo ni avatar yako na za members wengine hazionekani
 
mimi ni wale watu wasiojulikana! ni mchinjaji! kama wale islamic state,niko jangwani nasubiri kuchinja mtu!. uso wa kazi! sina masihara wala huruma! niko kazini!
 
Ndio mkuu avatar yangu inaonekana.

Tatizo ni avatar yako na za members wengine hazionekani
Kwanini hazionekani....unatumia kifaa gani simu au computer au tablet
 
mimi ni wale watu wasiojulikana! ni mchinjaji! kama wale islamic state,niko jangwani nasubiri kuchinja mtu!. uso wa kazi! sina masihara wala huruma! niko kazini!
sio kosa lako ni huo unga unaotumia du
 
hahaa na umri huo uanze kuimba ule wimbo wa yule mkaa uchi si unataka watoto wako wakukane kuwa wew sio baba yao..
binafsi nimezaliwa 90 lakini napnda mnoo nyimbo zakizamani za dance yaani huwa nacha nganyikiwa kabisa nikizisikia..nyimbo kama soul stars..pepe kale kanda bongo man .yondo sister ..arusi mabele .gato .papa wemba bileku mupasi mpka awilo na wengine wengi huwa zani maliza kabisa
 
Yangu kwa sababu namu admire the late mobutu na ndiye role model wangu,,,
 
Inajieleza yenyewe..
Makaveli the don.. Killuminati king pac mzee wa thug life

Aisee nakikubali mnoo hichi kiumbe.
 
Sidhani kama kuna mtu ataweka avatar tu pasina sababu.. Basi ni moja ya maajabu ya dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…