Mwana JF yupi unamkubali sana na kwanini unamkubali?

members wafuatao mi nadhani wapo unique wana leta burudani humu

jukwaa la siasa : paskalli , retired , mwiffa , cocochanel na salary slip
Intelligensia:Malcolm lumumba na the bold da vinci
jukwaa la ushirikina : mshana
na MMU ; Gudume + member wote
 
Kabisa...dawa ni kuwachana, wakajambie njia panda.
Afu mwanaume mzima.
Sijui aliko huko kama anasimamisha.
Mxiyuuu!!!!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nyie wanaume nani huyoo..kauvagaa wa madame B!!
Pugiii!
 
Msomee tu. Huyo kanigandisha mi nasubiri tiketi ya kwenda kuuza figo tiketi yangu anayo yeye.
hahaaaaaa " mate umenichekesha"" sana" hivi" kumbe " bado hajakupa" Daaahh itakuwa nimpishi wa sumu huyu ndugu yetu maana sio kwa roho mbaya hiyo
Wick
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…