Mwana JF yupi unamkubali sana na kwanini unamkubali?

Mwana JF yupi unamkubali sana na kwanini unamkubali?

Kitu gaaniii la muhim mtaje jina tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jina nitataja....kwani namuogopa mie.
Ohhh mie nalipwa M.1 mshahara, nakaa kwenye ghorofa sijui blah blah kibao.
Wenye pesa wanajulikana babu weeeee
Kwanza M.1 ni pesa au chenchi?
Huyu siku ipo....atauvagaa wakati niko mwezi mchanga
 
Mie niko tofauti kidogo na mleta mada.
Mie namdiss mkuda mmoja hivi humu Jf.
Ni dume ila ikifika usiku anakuwa jike.
Hana kazi ya maana zaidi ya kuita wadada wa Jf na kuanza kufuatilia maisha yao.

Kwanza dume zima unaanzaje kuulizia maisha ya mwanamke!!!....unataka kuwa shoga etu au!
Next time nakuvisha dera...sina pengine pa kusemea.
Nimekusema ila naona hujirekebishi.
Utakuja kuolewa bila mahari wala sare.
Najua unajijua, unajikuta Jay Z huko uliko.
View attachment 821981Nakusindikiza nalo...nyau we!!!!
Koma kufuatilia maisha yangu.

Namba yangu ya simu huna...ila matatizo yangu unayo....kama sio uchawi ni nini!!!
Nyau we.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ndo maana nakupendaga
 
Namkubali sana Maxence Mello.

Ni mwanajeshi aliyesimama kidete hata baada ya vitisho kutoka serikalini vilivyotaka kuingilia uhuru wetu hapa.

Pia Max ni mtu mmoja hana shobo na very humble individual.

Ila tunamuomba aipoze team yake iwe na simile za busara katika kutoa bans na kufuta threads.
Sifa hizo za Max umezijuaje mkuu?
Una mfaham nje ya JF?
 
Back
Top Bottom