Acha tu... nimevurugwa.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nyie wanaume nani huyoo..kauvagaa wa madame B!!
Pugiii!
Hata kwa ungo bina sis tenaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mimi na wewe tutakutana iwe kwa boda au kwa pipa
Jina nitataja....kwani namuogopa mie.Kitu gaaniii la muhim mtaje jina tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ndo maana nakupendagaMie niko tofauti kidogo na mleta mada.
Mie namdiss mkuda mmoja hivi humu Jf.
Ni dume ila ikifika usiku anakuwa jike.
Hana kazi ya maana zaidi ya kuita wadada wa Jf na kuanza kufuatilia maisha yao.
Kwanza dume zima unaanzaje kuulizia maisha ya mwanamke!!!....unataka kuwa shoga etu au!
Next time nakuvisha dera...sina pengine pa kusemea.
Nimekusema ila naona hujirekebishi.
Utakuja kuolewa bila mahari wala sare.
Najua unajijua, unajikuta Jay Z huko uliko.
View attachment 821981Nakusindikiza nalo...nyau we!!!!
Koma kufuatilia maisha yangu.
Namba yangu ya simu huna...ila matatizo yangu unayo....kama sio uchawi ni nini!!!
Nyau we.
Madam tutajie jina bana tuwe tunamng'ongaJina nitataja....kwani namuogopa mie.
Ohhh mie nalipwa M.1 mshahara, nakaa kwenye ghorofa sijui blah blah kibao.
Wenye pesa wanajulikana babu weeeee
Kwanza M.1 ni pesa au chenchi?
Huyu siku ipo....atauvagaa wakati niko mwezi mchanga
Hahahahhahah...na kweli.Looh!tukiwaita mapugii tunapigwa ban[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Nakupenda pia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ndo maana nakupendaga
Nitakuja tu shost.Madam tutajie jina bana tuwe tunamng'onga
ajiandae kukojoa dagaa tu" maana ameshanivuruga ""Hana adabu, mshushe busha
Mbona PM inakataa kwako[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hahahahhahah...na kweli.
Hapa nikilala, nikiamka nakuta kufuli kwa nje....tobaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Unawachokoza eeeeh[emoji23] [emoji23] [emoji23] binamu ktk ubora wakoo!
Nani huyo ana tabia za kipugi pugi[emoji23] [emoji23]
Mods natania tuu
Sifa hizo za Max umezijuaje mkuu?Namkubali sana Maxence Mello.
Ni mwanajeshi aliyesimama kidete hata baada ya vitisho kutoka serikalini vilivyotaka kuingilia uhuru wetu hapa.
Pia Max ni mtu mmoja hana shobo na very humble individual.
Ila tunamuomba aipoze team yake iwe na simile za busara katika kutoa bans na kufuta threads.
Sio inakataa....Mbona PM inakataa kwako[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji3][emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ahsante sana najua ni Mimi tuu[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] !!!We mdada nakukubali balaa, unajua eti na sihitaji kutaja ID yako
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nini mama lii!!acha uchawi hapaa!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Unawachokoza eeeeh
Kaaah!jamaniii mashkolo mageni!!Sio inakataa....
Ukianza na jina inakataa.
We start a conversation then add my Id.
Hii App mpya inatuchosha tu.