Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Inategemea na ntu na ntuMapenzi sio kwichi, alafu mtu asipo wakichwi mnaanza kulalamika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea na ntu na ntuMapenzi sio kwichi, alafu mtu asipo wakichwi mnaanza kulalamika
Kula zoezi,punguza msosi hususan ya kunenepesha.kama unahisi nimedanganywa mkuu..🥂🥂sanaOhooo ushadanganywa mama zoezi siyo dawa ya kupunguza mwili katu.
Naomba namba ya mke wakoAcha uongo wewe mataga
Bao la kitaalam unalijua wewe??
Mataga nyie kazi yenu mnajua kuiba tuu
mixer pillow fighting........ duuuh
Huu ndio mfano halisi wa kile ambacho kinatokea ndani ya nyumba nyingi! Natumaini wa kujifunza mtajifunza jambo [emoji2956][emoji2956][emoji2956]!!!
cariha Rebeca 83 Wangari Maathai Espy Karma Saint Anne financial services muite na wenzenu
Tunawahaidi kuwa mkitufuma na mchepuko bado tutakataaaDah haya bana ila wanaume hamnaga formula kabisa nyie, je mnatuahidi nini tukiwapa yoote na mchepuka tukiwafuma tuwafanyaje😀😀
Inaitwaje hiyo pafyumu?Hakyamama mwanaume anaenukia ni Habari nyingine..unaweza kumkula bila chumvi.
Kuna perfume Ex wangu aliinunuaga oriflame ile harufu mpka leo haiwezi niisha manina walai..
Kuna siku nitakuja kumnunulia wangu wa maisha hakyamama tena kha
Daddy,bintiyo niko hapa nitakununulia siku nikiokota fwezaInaitwaje hiyo pafyumu?
Asante sana lakini naomba kujua jina la hiyo cologne kama hutojali...Daddy,bintiyo niko hapa nitakununulia siku nikiokota fweza
Zilikuwa mbili.Asante sana lakini naomba kujua jina la hiyo cologne kama hutojali...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hivi mtu anakuaje bonge hivyo aseee
Ze biga ze kitambi ze mjaa izi kunywea🤣🤣🤣Hivi pale mti wa kati kutakuwa na maajabu kweli🤔
Najaribu kujiwazia mwenyewe hapa chini ya mti nikiwa nimekaa
So ze kuchikuchi otahe in bed is negativu buku!🤔Ze biga ze kitambi ze mjaa izi kunywea🤣🤣🤣
Dada[emoji15][emoji15]Ze biga ze kitambi ze mjaa izi kunywea[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwanamke wa hovyo ka huyu ni kutemana naye tu, very hopeless woman, hajafundwa sijui au kufundwa hajafundika
Huu ndio mfano halisi wa kile ambacho kinatokea ndani ya nyumba nyingi! Natumaini wa kujifunza mtajifunza jambo [emoji2956][emoji2956][emoji2956]!!!
cariha Rebeca 83 Wangari Maathai Espy Karma Saint Anne financial services muite na wenzenu
Aaaah kabisa.So ze kuchikuchi otahe in bed is negativu buku![emoji848]
Shikamoo kaka.Dada[emoji15][emoji15]
Habari za usiku jirani!Mwanamke as namna gani huyu? Hapo unakuta mtu genye zimejaa debe mtu anakufanyia hivi. Dadeq!