Mwana-kulitafuta, mwana-kulipata: Namna ambavyo michepuko huchipua

Mwana-kulitafuta, mwana-kulipata: Namna ambavyo michepuko huchipua

Mantiki ya mada imeachwa na kukimbiliwa unene sijui Nini na Nini!

Ukweli wengi wa wanawake ndio chanzo Cha michepuko kwenye ndoa na mahausiano.
Hata Kama mtu ume choka Kuna namna ya kumfikishia ujumbe ya kwamba umechoka au haujisikii.

Ndoa au mahusianao na ya namna hii hua hayakawii kuvunjika, mkisha kua single mnaanza oh mwana ume vile mwanaume hivi , Mara wanaume wote Ni mbwa !

Nawahakikishia wadada life style mlio nayo kipindi hiki sure kilio chenu au watoto wenu kitakua kikubwa mno!

Video aione pia ndugu Heaven Sent
 
Mantiki ya mada imeachwa na kukimbiliwa unene sijui Nini na Nini!

Ukweli wengi wa wanawake ndio chanzo Cha michepuko kwenye ndoa na mahausiano.
Hata Kama mtu ume choka Kuna namna ya kumfikishia ujumbe ya kwamba umechoka au haujisikii.

Ndoa au mahusianao na ya namna hii hua hayakawii kuvunjika, mkisha kua single mnaanza oh mwana ume vile mwanaume hivi , Mara wanaume wote Ni mbwa !

Nawahakikishia wadada life style mlio nayo kipindi hiki sure kilio chenu au watoto wenu kitakua kikubwa mno!

Video aione pia ndugu Heaven Sent
Abeee ndugu
 
Aiseh ni tamu wallah nitamnunulia mume wangu wallahi
Unataka mume wakati wengine walitoa bikra
Daaah kwa hiyo Huyo mume ana lipa LOBOLA (mahari) kumbe una chain ya vidume vimepiga hadi imetepeta
JamiiForums349370739.jpg
 
Bao nyingi kuchafuana mama. Unaweza ukapigwa moja la kitaalam ukavaa mwenyewe.
Acha uongo wewe mataga
Bao la kitaalam unalijua wewe??

Mataga nyie kazi yenu mnajua kuiba tuu
 
Hii kibabe sana lazma watoke nduki humu[emoji2956][emoji2956][emoji2956] af hapo mtu anadengua eti anataka mahari ya million 3
Wakulaumiwa ni mwanaume kuoa mtu ambaye sio bikra
Acha walipe mahari
Wakati kuna wanaume wenzake wamezungusha rungu lao hadi k imechakaa
 
Hii kibabe sana lazma watoke nduki humu[emoji2956][emoji2956][emoji2956] af hapo mtu anadengua eti anataka mahari ya million 3
Kuna yule mpumbavu alitaka mahari ya 500milion
 
Duh ila baadhi ya wanaume nyie msivojiheshimu,mtacheat tu hata muachiwe mapaja brake p kila siku. Mtasingizia tu mmechoka nyama ile ile mnataka kubadilisha kidogo. Ahsante kwa fundisho ila nikuulize kidogo je hiyo ni guarantee ya kutokucheat? Ukijiona wewe unahisi huwezi kumcheat mke/mpenzi endapo atakutimizia hayo mahitaji yako kimwili? Wewe huyo😬
 
Back
Top Bottom