Mwana-kulitafuta, mwana-kulipata: Namna ambavyo michepuko huchipua

Mwana-kulitafuta, mwana-kulipata: Namna ambavyo michepuko huchipua

Mwamba piga zoezi uwe tofauti na vibonge wengine.

Ukiwa na ule ukibonge wa mazoezi amini usiamini utawasikia watu wakisema huyu ni kibonge lakini mwepesi sio mzembe 🤣🤣🤣
Ni rahisi kwa maskini kuhamia uchumi wa kati kuliko bonge kupungua kwa mazoezi.

Bro Msechu anakwambia kuna kipindi alikua anafanya diet, akimwona mwanae anakula anamwonea wivu imagine😂
 
Ni rahisi kwa maskini kuhamia uchumi wa kati kuliko bonge kupungua kwa mazoezi.

Bro Msechu anakwambia kuna kipindi alikua anafanya diet, akimwona mwanae anakula anamwonea wivu imagine😂
Kama unaupenda unene nakuhakikishia huwezi kupungua.ila kama hupendi mwamba lazima ufanye namna ya kuupunguza tu ingawa si kazi rahisi kupunguza mwili.basi ruka ruka hata kamba loh
 
😂😂😂😂😂 hata nyie mna ubinafsi unadhani angekuwa mpenzi mpya hata kuchoka ungesikia? Lakini kwa wazamani UNADEMKA.
🤣🤣🤣🤣! Hamna bwana....tupeane vionjo wote..ukiona mwanamke wako anataka kupewa pewa hela we mpe tu kwan sh ngap? Ukiona mwanamke wako anapenda kwenda music kama wangari mpeleke babu wee akajiachie....yaan kila mwanamke ana vibe lake..wengine akinunuliwa kijora kwisha habari yake...sasa mmekazaaaaa😱😱😱😖
 
Kama mupenzi hana mambo ya KUDEMKA DEMKA hasa kwenye kutoa utamu kwanini asidekezwe? 😜
🤣🤣🤣🤣! Hamna bwana....tupeane vionjo wote..ukiona mwanamke wako anataka kupewa pewa hela we mpe tu kwan sh ngap? Ukiona mwanamke wako anapenda kwenda music kama wangari mpeleke babu wee akajiachie....yaan kila mwanamke ana vibe lake..wengine akinunuliwa kijora kwisha habari yake...sasa mmekazaaaaa😱😱😱😖
 
Back
Top Bottom