Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
🤣🤣🤣🤣 nimecheka mno jaman dah .spare my ribsNajua huwezi kunukia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣 nimecheka mno jaman dah .spare my ribsNajua huwezi kunukia
Kama napata siwez kukunyima...mna ubinafsi balaaVyote hivyo unapata na na maromance 😂😂😂juu sasa kwanini tena uwe mchoyo wa dudu?
Tudanganye tu ukiwa hapo nyuma ya keyboard..Yaan nadamka saa11 unataka dudu .usk tena unataka dudu WTF? Mie nilishashindwaga muuuda
Perfume za oilframe ni habari nyingine..tamu mnoHakyamama mwanaume anaenukia ni Habari nyingine..unaweza kumkula bila chumvi.
Kuna perfume Ex wangu aliinunuaga oriflame ile harufu mpka leo haiwezi niisha manina walai..
Kuna siku nitakuja kumnunulia wangu wa maisha hakyamama tena kha
Kwamba unahis nn mkuu?Tudanganye tu ukiwa hapo nyuma ya keyboard..
Aaahh we jimbafy tu wkat ...💦💦 huna ujanja 😁Kwamba unahis nn mkuu?
Tunakubali sex ina raha Yake..ila sio NDALILOAaahh we jimbafy tu wkat ...💦💦 huna ujanja 😁
Aiseh ni tamu wallah nitamnunulia mume wangu wallahiPerfume za oilframe ni habari nyingine..tamu mno
Ni rahisi kwa maskini kuhamia uchumi wa kati kuliko bonge kupungua kwa mazoezi.Mwamba piga zoezi uwe tofauti na vibonge wengine.
Ukiwa na ule ukibonge wa mazoezi amini usiamini utawasikia watu wakisema huyu ni kibonge lakini mwepesi sio mzembe 🤣🤣🤣
Sema wewe...yaani uanze nitishia mimi kweli? Khaa..hahaaa mie sijui nitishwe nini ndo nitishike aise🤣🤣!Sijaielewa hiyo video naona imekaa kitoto Sana, mikwara mbuzi hiyo
Kama napata siwez kukunyima...mna ubinafsi balaa
Kama unaupenda unene nakuhakikishia huwezi kupungua.ila kama hupendi mwamba lazima ufanye namna ya kuupunguza tu ingawa si kazi rahisi kupunguza mwili.basi ruka ruka hata kamba lohNi rahisi kwa maskini kuhamia uchumi wa kati kuliko bonge kupungua kwa mazoezi.
Bro Msechu anakwambia kuna kipindi alikua anafanya diet, akimwona mwanae anakula anamwonea wivu imagine😂
Bao nyingi kuchafuana mama. Unaweza ukapigwa moja la kitaalam ukavaa mwenyewe.Sidhani
Zaidi ya kabao kamoja ka fasta mixer kutoa jasho ndoo nzima
🤣🤣🤣🤣! Hamna bwana....tupeane vionjo wote..ukiona mwanamke wako anataka kupewa pewa hela we mpe tu kwan sh ngap? Ukiona mwanamke wako anapenda kwenda music kama wangari mpeleke babu wee akajiachie....yaan kila mwanamke ana vibe lake..wengine akinunuliwa kijora kwisha habari yake...sasa mmekazaaaaa😱😱😱😖😂😂😂😂😂 hata nyie mna ubinafsi unadhani angekuwa mpenzi mpya hata kuchoka ungesikia? Lakini kwa wazamani UNADEMKA.
🤣🤣🤣🤣! Hamna bwana....tupeane vionjo wote..ukiona mwanamke wako anataka kupewa pewa hela we mpe tu kwan sh ngap? Ukiona mwanamke wako anapenda kwenda music kama wangari mpeleke babu wee akajiachie....yaan kila mwanamke ana vibe lake..wengine akinunuliwa kijora kwisha habari yake...sasa mmekazaaaaa😱😱😱😖
GoodKama mupenzi hana mambo ya KUDEMKA DEMKA hasa kwenye kutoa utamu kwanini asidekezwe? 😜
Good