Muingiliano wa mapambano ya kiroho ukoje hapo ikiwa mwenye gametiume alikuwa na mikosi/laana?View attachment 2324952
Bailey Ennis mwenye umri wa miaka 24 alitamani kupata mtoto lakini hakuwa kwenye mahusiano. Alitafuta kwenye interest na kupata sperm donor anaeuza kit ya sperm.
Pamoja na gharama za post kit moja ni £25. Bailey alifanikiwa kutunga ujauzito October 2021 na sasa ni mama mpya baada ya kujifungua July mwaka huu.
Ila hawa haja jamiiana. Haya mambo ya mikosi , gundu mixer makolokolo ni huku africa tuMuingiliano wa mapambano ya kiroho ukoje hapo ikiwa mwenye gametiume alikuwa na mikosi/laana?
IKUMBUKWE Me na Ke wakijamiiana huunganisha NAFSI + MWILI + ROHO.
Mhh mamaae hapo napo changamoto saaaaanaMama akifariki mtoto analelewa na ustawi wa jamii, hakuna ndugu wa baba.
Tena baada ya kwenda mahakamani[emoji3][emoji3]Kuna siku utasikia binadamu amefunga ndoa na robot na wameachana kwa talaka.
Hiyo ipo kwenye mikakati, kama saizi unaeza lala na roboti la kiume kwa wale wa kike..tunakio elekea wanaume hatutakua na kaziKuna siku utasikia binadamu amefunga ndoa na robot na wameachana kwa talaka.
Aisee!!View attachment 2324966
Ma baba wenyewe wa kileo ndiyo hawa.