Uchaguzi 2020 Mwana wa kulitafuta Lijualikali kalipata, baada ya kuangukia pua Ubunge ajaribu udiwani na kuambulia kura 5. Adaiwa kutamani kurudi CHADEMA

Alifikiri atashinda udiwani na kuwa mwenyekiti wa halmashauri
 
Zwazwa yule.

Mtaka nyingi nasaba hufikwa na mwingi msiba.
 
Atarudishwa na boss, tusubiri
Watu wanafurahia tu lakini lazma mkuu ampe kinafasi cha kujishika tu. Na kwakwel km hawatawapa nafasi yoyote itafannya msimu ujao kutokuaminika na waunga juhudi na watakuwa wamefanya kosa kubwa sana
 
Watu wanafurahia tu lakini lazma mkuu ampe kinafasi cha kujishika tu. Na kwakwel km hawatawapa nafasi yoyote itafannya msimu ujao kutokuaminika na waunga juhudi na watakuwa wamefanya kosa kubwa sana
Atampa udc au Das lbda
Kuna tofauti kubwa ya kuchaguliwa na Kuteuliwa!
Kuchaguliwa kwa kura si mchezo

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Kilombero nimewaheshimu mmeiheshimisha Moro.
 
Hizo milioni 250 za kiinua mgongo akanunue boda boda kama alivyosema...yaani unatoka ubunge kurudi udiwani wakati wenzake wanatoka udiwani kwenda ubunge,huyu ndio kaweka historia kutoka ubunge hadi kugombea udiwani.
Bora awe bado anazo hizo pesa,mana kwa namna ya kura za Maoni ya Ccm,atakuwa amezitapanya kwa wajumbe
 
Siyo yeye. Huyu ni 2015.Alipigwa na Ndugai.
Unakumbukumbu sana Ndugai kidogo aue mtu kwa sababu ya ubunge tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mwache akalime ngapa Ifakara atapata akili mwaka 2025.
Hata ccm wenyewe hatukufurahishwa na maneno ya huyu jamaa
Acha dunia imfundishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakumbukumbu sana Ndugai kidogo aue mtu kwa sababu ya ubunge tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
achana na Ubunge mzee jiran yangu hapa miaka mi 5 tu ana nyumba 7 za MAANA nazozijua na alikua kapanga...... Sabufa akaona njia ni hiyo tu kuponesha kitumbua chake hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…