Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Maalim,Hongera Alama.
Tabaraka Allah.
Genuine...Mzee wangu Heshima yako,
Story yako ni ipi?
Mzee Mohamed, hongera sana baba.Genuine...
Ahsante sana.
Glenn,Mzee Mohamed, hongera sana baba.
Umekuwa mwanachama bora na..
Aliyejaa subra, hekima na busara.
Mungu akutunze na uendelee kuwa baraka hapa jf mzee wetu.
Not...Hongera mzee mwenzangu
Chen...Hongera mzee Mohamed Said. Huwa nasoma sana mada zako ila sijawahi kuchangia kabisa. Leo nachangia kwa kutoa pongezi.
Amiin.Mzee Mohamed, hongera sana baba.
Umekuwa mwanachama bora na..
Aliyejaa subra, hekima na busara.
Mungu akutunze na uendelee kuwa baraka hapa jf mzee wetu.
Hongera Mzee wangu Mohamed Said mungu akulinde akupe afya njema na maisha marefuMWANACHAMA BORA JAMIIFORUMS STORIES OF CHANGE 2022
Picha zilizopo hapo chini zinajieleza zenyewe.
Nawashukuru sana JF kwa heshima hii waliyonipa.
Huu ni mwaka wa pili mfululizo napewa heshima hii.
Leo nimefika JF na nimekabidhiwa zawadi zangu.
Huo mfuko ndimo zilimo hizo zawadi zangu.
Zawadi nimepewa kwa faragha kwa hivyo basi sitosema nilichopewa.
Naamini haiba ya mfuko inaeleza nini kilikuwa ndani.
Furaha yangu haielezeki.
Ahsante sana JF.
AmenAmiin.
Mzee Mohamed Said usinisahau kwenye ufalme wako😃😃MWANACHAMA BORA JAMIIFORUMS STORIES OF CHANGE 2022
Picha zilizopo hapo chini zinajieleza zenyewe.
Nawashukuru sana JF kwa heshima hii waliyonipa.
Huu ni mwaka wa pili mfululizo napewa heshima hii.
Leo nimefika JF na nimekabidhiwa zawadi zangu.
Huo mfuko ndimo zilimo hizo zawadi zangu.
Zawadi nimepewa kwa faragha kwa hivyo basi sitosema nilichopewa.
Naamini haiba ya mfuko inaeleza nini kilikuwa ndani.
Furaha yangu haielezeki.
Ahsante sana JF.