Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti jaman mi alikuwa akiona nipo kimya ananicheki pm na kuniuliza binam upo wapi au umebanwaKuna baadhi ya watu humu wanajua kuwa alikuwa anaumwa[emoji848]
But unajua angesema tungemshauri, hata kipesa jamani
Kwanin alifanya siri[emoji22][emoji24]
Warumi wangu jamani, tumbo la uzazi linanikata[emoji24][emoji24]
Ndo maana hatukumuona kwenye umbea kule kumbe alikua anafight na maisha yakeJmn binamu warumi daaah, apumzike kwa amani.
Binamuuuuuuuu. Mmbea mwenye viwango vyako, usiye na mpinzani Afrika Mashariki na Kati; tutakukumbuka daima binamu yetu daaah. Ahsante kwa burudani uliyokuwa unatupa Celebrities Forum; kwa kweli hakukuwa na kama wewe kwa kutuletea tu ubuyu wenye viwango; and we aprreciated you, when you were still alive. Upumzike kwa amani binamu.
Tulivyokuwa tunabishana kuhusu zari
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] naona kama ndoto
Apumzike kwa amani