TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

Status
Not open for further replies.
It's Pain[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] warumi
 
Tukachambwa hadi kwa blog ya sinta jamani
Kipindi hicho mi na warumi ndio tumejiunga jf matola alitusumbua jamani tunachanganyikiwa kabisa tunaenda pm tutumie mbinu gani kumtukana Matola
Halaf ananiambia eee binam dina li matola linachamba hili limbwaaa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nikiwaona hivi wadau wa enzi za warumi.

Yesuuuuu!!
Naumia
 
Hahahha tunacheka kama mazuri. Kwa kweli Matola alikuwa anawanyoosha; nilikuwa ninacheka hadi basi. Mnaungana wenyewe ila bado anawatoa jasho.

Hiyo ya kuchambwa kwenye blog ya Sinta, mmenikumbusha na binamu Raynavero Vichambo hadi na U-turn kwa Mange[emoji38][emoji38]
 
warumi YOU LEFT A LEGACY kule Celebrities.

Umeniuma mdogo wangu.
Dah.
Pumzika Binamu.
Nimemiss matusi yako yasiyo na mpangilio mbwa wewe.kwa nini sasa jamani!😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Uuuuwih
 
Unakumbuka siku ile alipigwa ban ya kuonewa; tukaanzisha #BringBackWarumi#, hadi akarudishwa. Weee aliporudishwa sasa tulikoma "mmbea mwenye nyota yangu sijui sina mpinzani na nini". Daah binamu ahsante sana kwa yote[emoji120][emoji120]
Watu walikuwa wakimtukana warumi
Warumi anagoma kutupa umbea kisa hatumsaidii akichambwa
Ikabidi tuanze kuwa tunamsaidia
Nitammiss jamanu warumi
 
Unakumbuka siku ile alipigwa ban ya kuonewa; tukaanzisha #BringBackWarumi#, hadi akarudishwa. Weee alivoprudishwa sasa tulikoma "mmbea mwenye nyota yangu sijui sina mpinzai na nini". Daah binamu ahsante sana kwa yote[emoji120][emoji120]
Alituchaaaambaaa.
Tukasutwaaaa, khaaaa.

Euiiiiiish warumi weeewe!!
Hapana bana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…