Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rest in peace kaka , hivi najiuliza mtu anatumia fake ID halafu siku akifa members wengine wanajuaje? Samahani lakini
Poleni mnoo jamaniTupo kwenye mazishi hapa tayari ameshawekwa kwenye nyumba yake ya milele. Kifo kiboko ya mwanadamu. Apumzike kwa Amani.
Rest in peace kaka , hivi najiuliza mtu anatumia fake ID halafu siku akifa members wengine wanajuaje? Samahani lakini
Apumzike mahali salama, ila hilo la kuwa karibu na Mungu ni hofu tuliyojengewa na wenzetu. Familia yake wapate faraja na kusonga mbele na maisha ya kila siku ingawa kuna changamoto.Poleni sana wafiwa,inasikitisha kwakweli,na sisi tuliokuwa hai tujiandaye kwakuwa karibu na Mungu kwani hatujui siku wala saa...
JAMANI HUU MSIBA UNANIKUMBUSHA MSIBA WA MWANAJF DOTO MNZAVA MWEEEE SIKU ZINAENDA SANANitakujibu law msiba huu. Tunafahamiana na tumeanzisha group la WhatsApp na zaidi kufahaminiana kifamilia. Hata kama unatumia fake ID hutakosa hata mtu mmoja mnayefahamiana. Waliopo huku wapo sehemu tunazoishi
Pole sana Preta!! .. Long time though!!!R.I.P Easymutant......dah......siamini kama nakuandikia hivi we lofa......(tulikuwa tukiitana hivi)......Ila sina namna......weee nenda tu......till we meet again my friend.......
R.I.P Easymutant......dah......siamini kama nakuandikia hivi we lofa......(tulikuwa tukiitana hivi)......Ila sina namna......weee nenda tu......till we meet again my friend.......
Usikae tu kienyeji enyeji huku! We are family alsoR.i.p marehemu.
Ninachostaajabu ni kitendo cha mleta mada kuielewa id ya member mwingine!
Ina maana watu humu wanafahamiana pamoja na mafekelo ids?
Hili limekaaje mleta uzi?
Pole best....
Tuyaenzi yale mema aliyokuwa akiyaishi....
WanaJF,
View attachment 1235230
Taarifa nilizozipata ni kwamba, mwenzetu, Easymutant amefariki dunia usiku wa kuamkia Jana kwa ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Sabble Square karibu na uwanja wa ndege wa Kisongo. Msiba upo Olasiti Arusha na updates zaidi nitawaletea hapa.
Poleni sana JF Arusha Wing na Members wote wa JamiiForums kwa ujumla.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.
View attachment 1235020
Updates:
Mazishi ni kesho, mwili utachukuliwa Mount Meru Hospitali asubuhi saa 4 na kupelekwa nyumbani kwake saa saba mchana na kupelekwa kanisani Kanisa la Mt. Joseph Mfanyakazi, Olasiti.
Maziko yatafanyika kwenye nyumba yake Mateves chini ya kituo cha mafuta cha OilCom Kisongo baada ya ibada.
Michango ya rambirambi inapokelewa na Hortensia Tarimo kwa namba 0759422471. Yeyote atakayeguswa anaweza kutuma rambirambi yake kwa namba hiyo!
Updates
Jana tumefanikiwa kumpimzisha mwenzetu Easymutant katika nyumba take ya milele. Tunawashukuru wote walioshiriki kufanikisha na kuhudhuria hadi kukamilisha maziko ya mwenzetu. Tunatoa shukrani za kipekee kabisa kwa wana JF Arusha Wing na Jamii Forum HQ kwa ushirikiano was hali ya Juu kabisa na uwakilishi kuanzia nyumbani, kanisani na makaburini. Tunaomba ushirikiano huu udumu milele.
Asanteni nyote.