Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rest in peace kaka , hivi najiuliza mtu anatumia fake ID halafu siku akifa members wengine wanajuaje? Samahani lakini
R.I.P Easymutant@Easymutant
Poleni sana aisee. .Tupo kwenye mazishi hapa tayari ameshawekwa kwenye nyumba yake ya milele. Kifo kiboko ya mwanadamu. Apumzike kwa Amani.
Achana na kifo, ni mystery ya ajabu. Come to think of it, think of God, Satan...hadi unachanganyikiwa!!!Tupo kwenye mazishi hapa tayari ameshawekwa kwenye nyumba yake ya milele. Kifo kiboko ya mwanadamu. Apumzike kwa Amani.
Tupo kwenye mazishi hapa tayari ameshawekwa kwenye nyumba yake ya milele. Kifo kiboko ya mwanadamu. Apumzike kwa Amani.
Jina lake halisi huyo mfu kwa sasa aliitwa nani
Poleni sana mliopo huko....Tupo kwenye mazishi hapa tayari ameshawekwa kwenye nyumba yake ya milele. Kifo kiboko ya mwanadamu. Apumzike kwa Amani.