Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba twende wote kama una muda...Ningepata member ningeenda nae.
#Mwanga wa milele umwangazie mpendwa wetu apumzike kwa amani
HayaNaomba twende wote kama una muda...
How do we meat?Haya
Eti tupo safari moja...R.I.P mkuu.Wote tupo safari moja.Tangulia mkuu.Poleni sana wafiwa.
Jina lake halisi huyo mfu kwa sasa aliitwa naniYupo member humu kafariki wiki mbili zimepita.. ... ...nasikitika sijui jina analotumia humu...ila yumo! Mazishi yake yalifanyika Buguruni hapo Dar!
Tunasikitika mnooooo........akiwa kama rafiki yetu wa karibu.......tunaumia sana kumpoteza.......
pole sana kwa familia.Pumzika kwa Amani Bro,sote ni wapitaji hapa Duniani,Tumkumbuke Mungu wakati wa Ujana wetu.
How do we meat?
Rest Easy [emoji120]WanaJF,
View attachment 1235230
Taarifa nilizozipata ni kwamba, mwenzetu, Easymutant amefariki dunia usiku wa kuamkia Jana kwa ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Sabble Square karibu na uwanja wa ndege wa Kisongo. Msiba upo Olasiti Arusha na updates zaidi nitawaletea hapa.
Poleni sana JF Arusha Wing na Members wore wa JamiiForums kwa ujumla.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe.
View attachment 1235020
Updates:
Maziko ni kesho, mwili utachukuliwa Mount Meru Hosp asubuhi saa 4 na kupelekwa nyumbani kwake saa saba mchana na kupelekwa kanisani Kanisa la Mt. Joseph Mfanyakazi, Olasiti.
Maziko yatafanyika kwenye nyumba yake Mateves chini ya kituo cha mafuta cha OilCom Kisongo baada ya ibada.
Michango ya rambirambi inapokelewa na Hortensia Tarimo kwa namba 0759422471. Yeyote atakayeguswa anaweza kutuma rambirambi yake kwa namba hiyo!