TANZIA Mwanachama wa JamiiForums (kutoka JF Arusha Wing), Easymutant afariki dunia

Poleni sana wafiwa,inasikitisha kwakweli,na sisi tuliokuwa hai tujiandaye kwakuwa karibu na Mungu kwani hatujui siku wala saa...
Apumzike mahali salama, ila hilo la kuwa karibu na Mungu ni hofu tuliyojengewa na wenzetu. Familia yake wapate faraja na kusonga mbele na maisha ya kila siku ingawa kuna changamoto.
 
Nitakujibu law msiba huu. Tunafahamiana na tumeanzisha group la WhatsApp na zaidi kufahaminiana kifamilia. Hata kama unatumia fake ID hutakosa hata mtu mmoja mnayefahamiana. Waliopo huku wapo sehemu tunazoishi
JAMANI HUU MSIBA UNANIKUMBUSHA MSIBA WA MWANAJF DOTO MNZAVA MWEEEE SIKU ZINAENDA SANA
 
Jamani Jamani....

Kuamini ni ngumu bado haswa kwa sisi tuliokuwa tunawasiliana naye karibia kila siku kwenye group letu.....

Umetuweza baba....Endelea kulala salama ....
 
R.I.P Easymutant......dah......siamini kama nakuandikia hivi we lofa......(tulikuwa tukiitana hivi)......Ila sina namna......weee nenda tu......till we meet again my friend.......

Pole best....

Tuyaenzi yale mema aliyokuwa akiyaishi....
 
R.i.p marehemu.
Ninachostaajabu ni kitendo cha mleta mada kuielewa id ya member mwingine!
Ina maana watu humu wanafahamiana pamoja na mafekelo ids?
Hili limekaaje mleta uzi?
Usikae tu kienyeji enyeji huku! We are family also
 
Pumzika kwa Amani mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…