TANZIA Mwanachama wa JamiiForums (kutoka JF Arusha Wing), Easymutant afariki dunia

TANZIA Mwanachama wa JamiiForums (kutoka JF Arusha Wing), Easymutant afariki dunia

WanaJF,
Taarifa nilizozipata ni kwamba, mwenzetu, Easymutant amefariki dunia usiku wa kuamkia Jana kwa ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Sabble Square karibu na uwanja wa ndege wa Kisongo. Msiba upo Olasiti Arusha na updates zaidi nitawaletea hapa.

Poleni sana JF Arusha Wing na Members wore wa JamiiForums kwa ujumla.

Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. View attachment 1235020
Rip
Dh kafa na maumivu sanaa
 
WanaJF,
Taarifa nilizozipata ni kwamba, mwenzetu, Easymutant amefariki dunia usiku wa kuamkia Jana kwa ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Sabble Square karibu na uwanja wa ndege wa Kisongo. Msiba upo Olasiti Arusha na updates zaidi nitawaletea hapa.

Poleni sana JF Arusha Wing na Members wore wa JamiiForums kwa ujumla.

Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. View attachment 1235020
RIP mwanamemba mwenzetu.
 
Duu poleni sana ..
Nimeshindwa kuelewa hilo gari ni aina gani
WanaJF,
Taarifa nilizozipata ni kwamba, mwenzetu, Easymutant amefariki dunia usiku wa kuamkia Jana kwa ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Sabble Square karibu na uwanja wa ndege wa Kisongo. Msiba upo Olasiti Arusha na updates zaidi nitawaletea hapa.

Poleni sana JF Arusha Wing na Members wore wa JamiiForums kwa ujumla.

Bwana ametoa na Bwana ametwaa, Jina lake lihimidiwe. View attachment 1235020
 
Filipo,

MKUUU UBARIKIWE SANA KWA TAARIFA UNGEWEKA NA NAMBA ZA WAHUSIKA MWENYE RAMBI RAMBI ATUME HOPE ZIWE SAHIHII....

NIMEKUWA NIKIWAZA MBONAAA ATUPEANI POLE MNS AWA MEMBER WA JF WOTE N WAZIMA

NAAMIN UMEKUWA MFANO JAMAN TUKISIKIA MEMBER KAFA TUPEANE TARIFA TUSHIRIKIANE USIZIKE KIMYA KIMYA NJIYA YA WOTE ...
 
Back
Top Bottom