TANZIA Mwanachama wa JamiiForums (kutoka JF Arusha Wing), Easymutant afariki dunia

Apumzike kwa amani Mkuu
 
R.i.p marehemu.
Ninachostaajabu ni kitendo cha mleta mada kuielewa id ya member mwingine!
Ina maana watu humu wanafahamiana pamoja na mafekelo ids?
Hili limekaaje mleta uzi?
Watu hadi tumeoa humu na tuna mashemeji 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…