Ni msiba mkubwa kwa wapenda mabadiliko wote nchini. Poleni sana familia yake maana pengo halizibiki kabisana. Poleni pia CDM na ukawa watu wa aina ya Mtoi ni wachache sana (refer masaliti).Pole sana Tanzania, maana tumepoteza mzalendo wa kweli.
Mungu ailaze roho yake mbinguni. Amina