Wachagga washafanya yao kama kawaida na ndio mtajua maana ya rangi nyekundu kwenye bendera ya hicho KITEGA UCHUMI CHA MTEI _CHAGGADEMA.
Watendee haki wazazi wako waliokuzaaWachagga washafanya yao kama kawaida na ndio mtajua maana ya rangi nyekundu kwenye bendera ya hicho KITEGA UCHUMI CHA MTEI _CHAGGADEMA.
Rip mwana maguuzi.Amefariki kwa ajali inasemekana alikuwa na mwanamziki Roma Mkatoliki
chanzo cm toka muheza ila sina uhakika
kama ni kweli basi familia ya mzee Mtoi inabahati mbaya sana kwani mdogo wa Mohamedi mtoi alifariki pia kwenye tukio la mabomu kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha.
Muhamedi Mtoi ni mwanaharakati wa muda mrefu wa CHADEMA. Amekuwa akishiriki harakati nyinga za kujenga chadema mkoani Arusha na Tanga pia ni Moja kati ya wanajamii Forum anayepost habari nyingi kuhusu harakati za chadema na hana chembe ya uoga kwani hutumia jina lake halisi Mohamed Mtoi
Wachagga washafanya yao kama kawaida na ndio mtajua maana ya rangi nyekundu kwenye bendera ya hicho KITEGA UCHUMI CHA MTEI _CHAGGADEMA.
Wachagga washafanya yao kama kawaida na ndio mtajua maana ya rangi nyekundu kwenye bendera ya hicho KITEGA UCHUMI CHA MTEI _CHAGGADEMA.
Futa hilo povu huko mdomoni kwanza. Hujui unachokiandika. Mtoi alikuwa kwenye kinyanganyiro cha kuwaania ubunge jimbo la lushoto.
RIP Mohammed Mtoi, tulibisgana sana humu mtandaoni.Amefariki kwa ajali inasemekana alikuwa na mwanamziki Roma Mkatoliki
chanzo cm toka muheza ila sina uhakika
kama ni kweli basi familia ya mzee Mtoi inabahati mbaya sana kwani mdogo wa Mohamedi mtoi alifariki pia kwenye tukio la mabomu kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha.
Muhamedi Mtoi ni mwanaharakati wa muda mrefu wa CHADEMA. Amekuwa akishiriki harakati nyinga za kujenga chadema mkoani Arusha na Tanga pia ni Moja kati ya wanajamii Forum anayepost habari nyingi kuhusu harakati za chadema na hana chembe ya uoga kwani hutumia jina lake halisi Mohamed Mtoi
Wachagga washafanya yao kama kawaida na ndio mtajua maana ya rangi nyekundu kwenye bendera ya hicho KITEGA UCHUMI CHA MTEI _CHAGGADEMA.
Hapana sitaki kuamini hizi habari alikuwa mbunge mtarajiwa