TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

Poleni sana ndugu zangu wa Lushoto kwa msiba huu mkubwa. Poleni sana Chadema. Ugoshe Wedi Umbuje!!!!
 
ni ngumu kuamini
Punzika kwa amani kamanda
Kukuenzi tutaendeleza mpambano wa kumngoa mkoloni mweusi
 
Amefariki kwa ajali inasemekana alikuwa na mwanamziki Roma Mkatoliki

chanzo cm toka muheza ila sina uhakika

kama ni kweli basi familia ya mzee Mtoi inabahati mbaya sana kwani mdogo wa Mohamedi mtoi alifariki pia kwenye tukio la mabomu kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha.

Muhamedi Mtoi ni mwanaharakati wa muda mrefu wa CHADEMA. Amekuwa akishiriki harakati nyinga za kujenga chadema mkoani Arusha na Tanga pia ni Moja kati ya wanajamii Forum anayepost habari nyingi kuhusu harakati za chadema na hana chembe ya uoga kwani hutumia jina lake halisi Mohamed Mtoi
Rip mwana maguuzi.
 
Wachagga washafanya yao kama kawaida na ndio mtajua maana ya rangi nyekundu kwenye bendera ya hicho KITEGA UCHUMI CHA MTEI _CHAGGADEMA.



Mjinga kama wewe punguani kama wewe nikionaga post kama hii yako ungekuwa karibu yangu ingekuonyesha kilichomnyoa kanga manyoa ya shingo! Ginga sana IBRAHIM MGAYA
 
Last edited by a moderator:
Amefariki kwa ajali inasemekana alikuwa na mwanamziki Roma Mkatoliki

chanzo cm toka muheza ila sina uhakika

kama ni kweli basi familia ya mzee Mtoi inabahati mbaya sana kwani mdogo wa Mohamedi mtoi alifariki pia kwenye tukio la mabomu kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha.

Muhamedi Mtoi ni mwanaharakati wa muda mrefu wa CHADEMA. Amekuwa akishiriki harakati nyinga za kujenga chadema mkoani Arusha na Tanga pia ni Moja kati ya wanajamii Forum anayepost habari nyingi kuhusu harakati za chadema na hana chembe ya uoga kwani hutumia jina lake halisi Mohamed Mtoi
RIP Mohammed Mtoi, tulibisgana sana humu mtandaoni.
Mungu aiweke roho yako mahali pema.
Bahati mbaya hujamwona Rais wa Hapa Kazi Tu, akichukua madaraka.
 
Pumzika salama M. Mtoi.
Chama na taifa vimepoteza kijana hodari.
 
Hapana sitaki kuamini hizi habari alikuwa mbunge mtarajiwa

Ndiyo Chagueni Mwingine Haraka Haraka Kwani Muda Unaenda Na Hata Hao NEC Kwa Sasa Wapo Busy Na Sidhani Kama Watakuwa Na Muda Wa Kuwasikiliza Labda Tu Mjipange Kwa Chaguzi Ijayo Ya Mwaka 2020 Na Hapo Pia Kama UKAWA Na CHADEMA Zitakuwepo Kwani Nimepata Taarifa Kuwa Baada Tu Ya Uchaguzi Mkuu Kama UKAWA Mtashindwa Basi Umoja Wenu Huo Wa KINAFIKI Utavunjika Rasmi. Ila Sisi CCM Kama Kawaida Ni Mbele Kwa Mbele.
 
Acha upumbavu siku zote kifo hakina chama. Mwenzetu nanapotangulia hatuna budi kumuombea safari njema..
 
Nimepokea kwa madikitiko makubwa kifo cha kamanda wetu... Mungu amweke pema.... ajali ilikuwaje (ufafanuzi jamani)
 
Back
Top Bottom