Wachagga washafanya yao kama kawaida na ndio mtajua maana ya rangi nyekundu kwenye bendera ya hicho KITEGA UCHUMI CHA MTEI _CHAGGADEMA.
Wachagga washafanya yao kama kawaida na ndio mtajua maana ya rangi nyekundu kwenye bendera ya hicho KITEGA UCHUMI CHA MTEI _CHAGGADEMA.
Wachagga washafanya yao kama kawaida na ndio mtajua maana ya rangi nyekundu kwenye bendera ya hicho KITEGA UCHUMI CHA MTEI _CHAGGADEMA.
Wachagga washafanya yao kama kawaida na ndio mtajua maana ya rangi nyekundu kwenye bendera ya hicho KITEGA UCHUMI CHA MTEI _CHAGGADEMA.
Ndiyo Chagueni Mwingine Haraka Haraka Kwani Muda Unaenda Na Hata Hao NEC Kwa Sasa Wapo Busy Na Sidhani Kama Watakuwa Na Muda Wa Kuwasikiliza Labda Tu Mjipange Kwa Chaguzi Ijayo Ya Mwaka 2020 Na Hapo Pia Kama UKAWA Na CHADEMA Zitakuwepo Kwani Nimepata Taarifa Kuwa Baada Tu Ya Uchaguzi Mkuu Kama UKAWA Mtashindwa Basi Umoja Wenu Huo Wa KINAFIKI Utavunjika Rasmi. Ila Sisi CCM Kama Kawaida Ni Mbele Kwa Mbele.
Jamani tumepoteza bonge la mpiganaji yaani kama siamini kbs
RIP Mohammed Mtoi, tulibisgana sana humu mtandaoni.
Mungu aiweke roho yako mahali pema.
Bahati mbaya hujamwona Rais wa Hapa Kazi Tu, akichukua madaraka.
Hata Mimi Nimesikitika Na Nimeumia Kweli Kufa Kwa Huyu Jamaa Kwani Kiukweli Kapunguza Idadi Ya Kura Zenu Chache Ambazo Pengine UKAWA Mngezipata. Nimepokea Taarifa Hii Kwa Mshtuko Mkubwa Sana. Naomba Kuuliza Hivi Ktk Kampeni Za Uchaguzi Haya Mambo Ya KUDONDOSHANA Kwa Kutoa KAFARA Za Ushindi Wa Kiti Cha Urais Nayo Huwa Yapo? RIP Kamanda Na Hakika Pengo Lako Halitazibika Kwani Hata ILANI Yenyewe Tu Ni Ya Kuunga Unga Na Hakika Umetuachia Mzigo Mkubwa Sana MAKAMANDA WAPAMBANAJI.