Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amefariki kwa ajali inasemekana alikuwa na mwanamziki Roma Mkatoliki
chanzo cm toka muheza ila sina uhakika
kama ni kweli basi familia ya mzee Mtoi inabahati mbaya sana kwani mdogo wa Mohamedi mtoi alifariki pia kwenye tukio la mabomu kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha.
Muhamedi Mtoi ni mwanaharakati wa muda mrefu wa CHADEMA. Amekuwa akishiriki harakati nyinga za kujenga chadema mkoani Arusha na Tanga pia ni Moja kati ya wanajamii Forum anayepost habari nyingi kuhusu harakati za chadema na hana chembe ya uoga kwani hutumia jina lake halisi Mohamed Mtoi
Tunaomba serikali ifanye uchunguzi maana CDM kuna katabia ka kulegeza bolti za matairi.
Khaa!! Nani atatuletea Baba, mume, kaka na rafiki tuliyempenda? Mbona una mawazo madogo hivyo?soo sad, sasa nani atatutetea Lushoto? Au ndo mwanzo wa ccm kupita bila kupingwa?
Taarifa za hivi punde ni kuwa kamanda Mohamedi Mtoi amepata ajali na kufariki dunia
WAMETOKA KWENYE MKUTANO WA KAMPENI TARAFA YA MLOLA.
KAMANDA MTOI AKAWAPELEKA WENZAKE MPAKA LUSHOTO MJINI KISHA AKAONDOKA KUELEKEA NYUMBANI KWAKE NDIO NJIANI GARI IKAPATA AJALI NA NDIPO KAMANDA MTOI AKAFARIKI DUNIA.
Maelezo haya yamethibitishwa na katibu wa chama wilaya Lushoto Kamanda Dulla.
========
UPDATES: