TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

upumzike kwa amani kamanda. Naomba kwa anayefahamu utaratibu wa kanuni za uchaguzi zinasemaje pale mgombea anapofariki anifhamishe na mimi nijue
 
Nimeshtuka sana, Mohamed Mtoi was a good guy, My friend.
Pumzika kwa Amani. Poleni sana wafiwa.
 

Kwani Kuna Mwenye Guarantee Ya Kuishi Milele Hapa Duniani?
 
Tunaomba serikali ifanye uchunguzi maana CDM kuna katabia ka kulegeza bolti za matairi.
 
mungu akupokee katika ufalme wake....mohamed mtoi
 
إِنَّا للهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ

Poleni wafiwa
RIP Mohamedi Mtoi
 
Poleni.wanafamilia, cdm .wanajamii na watanzania msiba hauna itikadi
 

maskini kamanda hujashuhudia tanzania mpya apo october? Mwenyezi mungu mrehemu na wape nguvu ndugu zake tupo pamoja kwenye uzuni. Apumzike kwa amani ni kazi yako baba
 
Umeeondoka ukiwa bado Taifa linakuitaji. Nakumbuka tulivokuwa woote Mwenye University, fikra na mawazo yako yalikuwa chachuvya maendeleo yetu.

R.I.P Mtoi
 
RIP Mtoi,

Umeondoka wakati ambao unahitajika sana kwenye jamii na taifa kwa ujumla!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…