What exactly happened?
Sawa ni ajali, lakini ilitokeaje....tufahamishwe basis.
Gari imegonga mti? Imepinduka? Zimegongana uso kwa uso?
How? How?......kwa sababu huyu kamanda ni miongoni mwa wana JF ambao possibility yao kuingia bungeni ilikuwa ni over 90%!
Kwa kweli it pains, lakini hatuna jinsi. Kamanda katangulia mbele ya haki.
R.I.P kamanda....lakini tunakuhakikishia huko huko uliko, hamasa yetu ya mabadiliko nje ya CCM ndiyo imeongezeka zaidi!!
Aluta continua!
Japokuwa mimi si mwanachama wa CHADEMA lakini nilikuwa navutiwa sana na hoja zake ambazo zilikuwa ni za kweli makini, zenye uchambuzi wa kisayansi na madhubuti. Nilitaka sana ashinde ubunge ili mchango wake uweze kunufaisha Taifa kupitia bungeni. Hakuwa mdini alikuwa mzalendo wa kweli.
Kifo chake kimenihuzunisha sana.
Raha ya milele umpe ee bwana, na mwanga wa milele umuangazie, apumzike kwa amani Amen X 3
hii habari ni ngumu sana kwangu, huyu jamaa .... dahhaaa, kweli tujiandae kila sekunde maana hatujui saa wala dakika... Mtoi??,,......... duuuhh, sometime nikiwazaga haya maisha yetu binadaamu hata sionagi maana yake....