TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali


ni swali zuri mkuu.......
 
Lets all believes on natural death and no body is behind his death as he was such a big threat kwa CCM Lushoto, Stay in Peace in God we Trust
 

Amina, RIP Mtoi!
 
Hakuna nafsi ambayo haitauonja umauti!!
R.I.P Kamanda Mtoi
 
Nimeshtuka sana sina la kusema ni kumuachia mungu. Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
 
Ni vigumu sana kuamini, utakumbukwa daima kamanda.
 
japo jamaa nlikuwa napinagana nae sana mambo mengi,lakini jamaa kaniuma sana ,innalillah wainna ilayh raajiun mohammmed Mtoi daima tutakukumbuka
 
Last edited by a moderator:
Daah siamini.. Rip brother! Nimetoka lushoto juzi na kukubali harakati zako na jinsi unavyokubalika. Poleni wafiwa..
 
Heshima kwake Kamanda Mtoi. Mwenyezi Mungu ampumzishe pema. Huyu ni miongoni mwa waislam wenye akili walionisaidia kuikataa propaganda ya CCM kuwa CDM ni chama cha kanisa 2010.
 
hii habari ni ngumu sana kwangu, huyu jamaa .... dahhaaa, kweli tujiandae kila sekunde maana hatujui saa wala dakika... Mtoi??,,......... duuuhh, sometime nikiwazaga haya maisha yetu binadaamu hata sionagi maana yake....


Ndio maana tunahitaji kuwaelimisha hawa CCM waache udhalimu kwani unawadhulumu watu kumbe unajiongezea madhambi tu na hujui wakati gani unaondoka duniani.

Mali yote uliyoichuma kwa ufisadi unaiwacha hapahapa
 
Jamani kamanda Mtoi nakulilia, ulikuwa mzalendo, mpambanaji wa kweli wa taifa lako. Utakumbukwa katika mioyo ya wengi. RIP Mohamed.
 
Yaani nimeumia sana nimeumia kupita maelezo.

Pole nyingi kwa Familia, Chama, Wananchi wa jimbo la Lushoto na Tanzania kwa ujumla. Tumempoteza mtetezi wa haki za Watanzania wa ukweli. Nenda Kamanda Mtoi, Mbele yako nyuma yetu. Wananchi wa Loshoto wana kila sababu ya kuenzi Spirit yako ktk kusaka Mabadiriko.

Watanzania, WanaJf na Wanacdm tutakukumbuka daima na tutayaenzi mazuri yote toka kwako....grrrrrrrrrrriiiiiiiiii... Tangulia Comrade.

BACK TANGANYIKA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…