AYUBU 14:1-2
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke, siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.
Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa!. Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.
-------------------------------------
-------------------------------------
AYUBU 14: 6-7
Kwa kuwa siku zake zimeamriwa, hesabu ya miezi yake unayo wewe, Nawe umemwekea mipaka yake asiyoweza kuipita:
Acha kumwangalia yeye, apate kupumzika, Hata atakapoitimiza siku yake, kama aliyeajiriwa.
Kwani yako matumaini ya mti ya kuwa ukikatwa utachipuka tena, Wala machipukizi yake hayatakoma.
----------------------------------------