TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

OMG, hii habari imenisikitisha sana, poleni sana wanafamilia, pumzika kwa amani Kamanda, umeondoka wakati unahitajika zaidi. kwa kweli ya Mungu mengi.
 
..umesema kweli kabisa.

..yaani huyu dogo alikuwa kijana mtulivu ktk mijadala, na tena msikivu. nilimpenda kama mdogo wangu.

..kila nikimtumia ujumbe alikuwa mwepesi kujibu. ukimuuliza maswali mwepesi kuyajibu. tukimrushia maduku-duku yetu kuhusu chadema hakusita kutujibu tena kwa uungwana wa hali ya juu.

..lakini nisichokisahau ni kila ujumbe wake alionitumia, alimaliza na maneno, KILA JEMA NA LENYE KHERI LISIKUPONYOKE.



cc Nguruvi3, lusungo, Jasusi

Oooh!
Mgosi hayupo tena,
 
Last edited by a moderator:
Wakuu, toka Leo kukuche nikiwa hapa home town MWANZA huku kukiwa na mvua za hapa na pale, feelings zangu ziko deep sana kumuwaza kanda Mtoi. Kwa kweli hii Leo nimemmis kwa dharura.
Alazwe pema peponi KAMANDA.
 
Nakumis kamanda
FB_IMG_1523652544873.jpg
 
Jamaa alikuwa mtu poa sana na alikuwa ashinde uchaguzi ule. Si ajabu kulikuwa na mkono wa watu wasiojulikana kwenye ajali yake.
Hakuna mamlaka itakayokwambia ukweli, lakini tulishajiongeza.... Hapakuwa na shaka jamaa angeshinda aisee.
 
Back
Top Bottom