TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

Kafali za mafisadi zimeanza mliwapokea mkidhani ni watu wa maana mtaona moto wake.

Tunashukru sana... You will die very soon, na kabla hujafa utafiwa na mtu atakayekuliza sana, na hii haihusiani na ubachojua

You just cursed your family

And don't ask why
 
Huyu jamaa nilimuona kigoma mwezi April 2015 mwanga centre , alitoa hotuba kali sana juu ya maadili na watu kufuata sheria walizojiwekea katika chama, hasa akirefer sakata la zitto, waha wale na ubishi wao but walimkubali sana huyu jamaa, alikuwa akiongea taratibu na kwa msisitizo sana.. na kufafanua sakata zima, watu walielewa sanaa.. Baadhi yao walikiri wazi kabisa kuwa chadema inajua kupika vijana pamoja na kujenga hoja,, baada ya yeye kumaliza alifuata Salumu Mwalimu, hawa jamaaa waliacha gumzo kigoma.. duuh M. Mtoi kawa mavumbi?? M. Mtoi haoingei? Siamini kabisa...
 
Kafali za mafisadi zimeanza mliwapokea mkidhani ni watu wa maana mtaona moto wake.

Watu walivyokanyagana na kufariki Morogoro kwenye mkutano wa kampeni wa CCM ilikuwa ni kafara kumbe,tena zikimuhusisha na mtoto mdogo? Ulaaniwe kwa mawazo yako ya kijinga!
 

Inna Lillahi wa inna ilaihi raji'un

Apumzike kwa amani ndugu mtoi

 

Mkuu, pole sana. Ni ngumu sana kuamini kama maisha ya mwanadamu yanaweza yakakatishwa ghafla namna hii. Inasikitisha mno. Mungu atupe vifua ili tuweze kukabiliana na huu msiba mzito.
 
duh. ni pigo kubwa sana kwa wapenda mabadiliko. mungu amuweke mahali pema..
 

Yaani ,we bibi wewe,yaani we bibi..ni mchawi kabisa..yaani we bibi ni shetani mkubwa...hivi huna utu

Yaani we bibi ,nikikushika siku...utanitambua
 
Kafali za mafisadi zimeanza mliwapokea mkidhani ni watu wa maana mtaona moto wake.

Acha upumbavu, unashindwa kumsema mgombea wa maccm ndio kamtoa kamanda Mtoi baada ya kuona amezidiwa, analikosa jimbo ndio katumia nguvu za giza. Ila mkumbuke ww ulietoa uhai wa mtu asie na kosa kisa ubunge. Itakurudia mwenyewe.

Mungu Ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi. Amina.
MAPAMBANO BADO YANAENDELEA MPAKA TAREHE 25/10/15 HATURUDI NYUMA. Mungu ibariki Chadema/Mungu ibariki Ukawa
 
Usingizi umekata kabisa hapa nilipo!
So sad so early you have gone Kamanda tulikuwa tunakuhitaji sana ndani na nje ya chama.
 
Ushabiki wa kisiasa tupa kule. Pumzika salama ndugu. Ulichokuwa ukikipigania hata kama hakitatimia ni sawa lakini ulipiga mbiu bila kuchoka. Na Mapambano yataendelea!
 

Hatoishi kwa raha
 
Inna Lillahi wa inna ilaihi raji'un

Apumzike kwa amani ndugu mtoi

CCM MBELE KWA MBELE

mkonozi,

Kuwa na adabu, kuwa na ubinadamu.

Humu JF nafahamika kama mwana CCM mkongwe. Lakini mara zote zinapokuja habari za majonzi kama hizi uwa naweka mzaha pembeni na kuwa pamoja na wanaJF wenzangu katika majonzi. Naomba uwe na ubinadamu.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…