Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Mohamedi Mtoi nakosa maneno ya haraka kukuelezea kwa muda huu kamanda...ila nitajipanga, na ninaahidi kulitendea haki jina lako lisisahaulike milele...utaishi katika fikra zetu na mioyo yetu wapenda mabadiliko! Ulikuwa mtu unaebadilika kufuatana na wakati,mwanamapinduzi wa fikra,mchokonozi wa fikra na mtu wa kusimamia unachokiamini...Umeondoka wakati ukombozi wa kweli ukichanua...Pumzika kwa amani mkuu!
Mkuu yatakuwa MA-CCM HAYA dah R.I.P brother
..umesema kweli kabisa.
..yaani huyu dogo alikuwa kijana mtulivu ktk mijadala, na tena msikivu. nilimpenda kama mdogo wangu.
..kila nikimtumia ujumbe alikuwa mwepesi kujibu. ukimuuliza maswali mwepesi kuyajibu. tukimrushia maduku-duku yetu kuhusu chadema hakusita kutujibu tena kwa uungwana wa hali ya juu.
..lakini nisichokisahau ni kila ujumbe wake alionitumia, alimaliza na maneno, KILA JEMA NA LENYE KHERI LISIKUPONYOKE.
cc Nguruvi3, lusungo, Jasusi
Pumzika kwa amani kamanda Mtoi mpenda mabadiliko umeondoka wakati wa ukombozi kamanda pumzika kwa amani kamanda pole kwa familia na watanzania wana ukawa kwa kuondokewa na kamanda wetu pumzika kwa amani kamanda mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi
Taarifa za hivi punde nikuwa kamanda Mohamedi Mtoi amepata ajali na kufariki dunia
WAMETOKA KWENYE MKUTANO WA KAMPENI TARAFA YA MLOLA.
KAMANDA MTOI AKAWAPELEKA WENZAKE MPAKA LUSHOTO MJINI KISHA AKAONDOKA KUELEKEA NYUMBANI KWAKE NDIO NJIANI GARI IKAPATA AJALI NA NDIPO KAMANDA MTOI AKAFARIKI DUNIA.
Maelezo haya yamethibitishwa na katibu wa chama wilaya Lushoto Kamanda Dulla.
========
UPDATES:
Ikiwa kuna aliyehusika kwa namna moja ama nyingine,atalipishwa mara 100 udhalimu huu....nina uchungu uliochanganyika na hasira...