TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

TANZIA Mwanachama wa JamiiForums & Mgombea Ubunge Lushoto(CHADEMA), Mohamedi Mtoi afariki ktk ajali

Kigogo na hii tusemeje ukilinganisha na ile ya Dogo Aslay
 
Last edited by a moderator:
Inalilah waina illayhirajiuun, tumempoteza mtanzania mahiri na muhimu kwa taifa. Mungu amuweke pema.
 
R.I.P Bro hizi taarifa zimenishtua kuliko maelezo haya ninayotoa! duuuuu!
 
Kama kifo hiki ni majaliwa ya binadamu hakuna shida lakini kama ni kazi ya binadamu yeyote aliyehusika NATAMKA WAZI KABISA hatabaki salama
 
Back
Top Bottom