hunchback
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 658
- 289
Huyu jamaa anacheza na akili za malofa wake mbona wangwe alikufa hatukuona akitoa salam za pole au kisa alikuwepo sisiem????Leo nimeamini mtaka cha uvunguni sharti ainue kitanda
Hebu muogope Mungu, watu wanaomboleza unaleta dhihaka! Kuna msemo unasema "kama huns kitu kizuri cha kuongea usiongee kabisa" kama huwezi kutoa pole ukapita basi ni vyema upite tu.
Copy kwa wote wenye tabia kama hii