Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Lakini "Ta" siyo kiwakilishi cha Mlangira! Na siyo kila mwanaume ni Mlangira bali hiyo "Ta" ni salutation ya mwanaume mzee yeyote!Kutokana na sehemu alipotokea na vile mleta mada kaamua kumiheshimisha kwa neno TA basi ni wajibu wa sisi wachangiaji kujua jumla kuwa alikuwa ni mlangira
Dubusangile namhala ng'wichane!إنا لله وإنا إليه راجعون
Poleni sana ndugu jamaa na marafiki, kila nafsi itaonja umauti, hakuna atakaebakia isipokuwa Mwenyezi Mungu peke yake.
Bhujiku ng'waka!
Ahsante kwa masahihisho hapo sasa nimeelewa vyema mkuu [emoji120][emoji120]Lakini "Ta" siyo kiwakilishi cha Mlangira! Na siyo kila mwanaume ni Mlangira bali hiyo "Ta" ni salutation ya mwanaume mzee yeyote!