Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana watu wanakula mbuzi we unakuja na habari za kitimotoLile zoezi la uhakiki wa nn linaisha lini ?
Umempa jibu muafaka sana. Watu wengine wapuuzi mno.Mmeo mbowe nae anashabikia yanga je bado ccm.
siku nyingine tumia akili Ku comment
sidhani kama atarudisha sura yake kwa jibu hili,mbumbumbu sana huyo kijanaMmeo mbowe nae anashabikia yanga je bado ccm.
siku nyingine tumia akili Ku comment
Kabisa MkuuUmempa jibu muafaka sana. Watu wengine wapuuzi mno.
Ongea tu hata kichinamhhh sijui niongee nn
Acha uongoMichezo si siasa, michezo ni burudani, hutuunganisha kama watanzania hapo mh. Hajafanya siasa kaplay part yake kama mwanachama na ameweza kumshawishi kocha.... Mf. Sio 7k fc lakini ni shabiki wa yanga tukifungwa naumia kupitiliza....baadhi ya watanzania wamekuwa watu wa ajabu kila kitu ni siasa hata kama ni vitu vya msingi.
Umesomea wapi hata kuandika haujui?Hili ni fundisho kubwa kwa timu ya Yanga.
Professional Coach like Hans Van Pluijm hauwezi kumfanyia upuuzi kama walioufanya Yanga. Yani unafanya mazungumzo na kocha mwingine kuchukua nafasi yake wakati yeye yupo kazini...! '!!!?????That was a big insult to him!!! Ningewaona Yanga wana akili pale tu hizi habari zilivyovuja kuwa Lwandamina anakuja kufanya mazungumzo pale pale Yanga wange ita press conference na kukanusha na wangemzuia huyu mzambia kuja na kutafuta plan B ya ku meet nae.
Jamani Van Pluijm amewahi kuichezea timu ya Taifa ya Netherlands na ndie inasemekana alimuibua Ruud Van Nestelrooy.
Sio kocha mbabaishaji.