Mwanachama wa Yanga Mwigulu Nchema amrudisha Kocha Pluijm

Mwanachama wa Yanga Mwigulu Nchema amrudisha Kocha Pluijm

Nimesoma kwenye mitandao ya kijamii taarifa za Waziri wa Mambo ya Ndani kuingilia kati na kusuluhisha mgogoro wa mwajiri (Yanga) na mwajiriwa wake kocha Pluin na kuweza kuuatutua mara moja.
Taarifa zinasema Waziri alitumia siku mbili kuzungumza na pande husika kupata suluhu.

Jambo la kusikitisha hapo ni kwamba Waziri ameacha majukumu yake kwa siku mbili na kushughulkia mgogoro wa mwajiri na mwajiriwa ambao ungeweza kupelekwa Tume ya usuluhishi na uamuzi. Huku mitaani Panya Road na Majambaz wakitamalaki na migogoro ya wakulima na wafugaji ikiendelea.

Hii ndio dhana ya kazi tu?
ukisikia wivu wa kike ndio huu sasa
 
Sasa we mwanaume mzima unashtaki panya road kwa mwanaume mwenzio,mnafanyaga watu wa dar tuonekane wa hovyo sana,kesho ufungashe urudi shambani kwenu huko,umekuja mjini umekua mbea sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] napita tuu
 
Nimesoma kwenye mitandao ya kijamii taarifa za Waziri wa Mambo ya Ndani kuingilia kati na kusuluhisha mgogoro wa mwajiri (Yanga) na mwajiriwa wake kocha Pluin na kuweza kuuatutua mara moja.
Taarifa zinasema Waziri alitumia siku mbili kuzungumza na pande husika kupata suluhu.

Jambo la kusikitisha hapo ni kwamba Waziri ameacha majukumu yake kwa siku mbili na kushughulkia mgogoro wa mwajiri na mwajiriwa ambao ungeweza kupelekwa Tume ya usuluhishi na uamuzi. Huku mitaani Panya Road na Majambaz wakitamalaki na migogoro ya wakulima na wafugaji ikiendelea.

Hii ndio dhana ya kazi tu?
We km mwanamke aloachwa,mi nilidhani anashughulikia matatizo ya Man u ya uingeleza?
 
Nimesoma kwenye mitandao ya kijamii taarifa za Waziri wa Mambo ya Ndani kuingilia kati na kusuluhisha mgogoro wa mwajiri (Yanga) na mwajiriwa wake kocha Pluin na kuweza kuuatutua mara moja.
Taarifa zinasema Waziri alitumia siku mbili kuzungumza na pande husika kupata suluhu.

Jambo la kusikitisha hapo ni kwamba Waziri ameacha majukumu yake kwa siku mbili na kushughulkia mgogoro wa mwajiri na mwajiriwa ambao ungeweza kupelekwa Tume ya usuluhishi na uamuzi. Huku mitaani Panya Road na Majambaz wakitamalaki na migogoro ya wakulima na wafugaji ikiendelea.

Hii ndio dhana ya kazi tu?
Hilo nalo ni suala la kudumisha amani ndani ya club ya Yanga ambao ina washabiki wake hapa nchini.
 
Nimesoma kwenye mitandao ya kijamii taarifa za Waziri wa Mambo ya Ndani kuingilia kati na kusuluhisha mgogoro wa mwajiri (Yanga) na mwajiriwa wake kocha Pluin na kuweza kuuatutua mara moja.
Taarifa zinasema Waziri alitumia siku mbili kuzungumza na pande husika kupata suluhu.

Jambo la kusikitisha hapo ni kwamba Waziri ameacha majukumu yake kwa siku mbili na kushughulkia mgogoro wa mwajiri na mwajiriwa ambao ungeweza kupelekwa Tume ya usuluhishi na uamuzi. Huku mitaani Panya Road na Majambaz wakitamalaki na migogoro ya wakulima na wafugaji ikiendelea.

Hii ndio dhana ya kazi tu?
UMESAHAU ASKARI WA UHAMIAJI POLISI NA MAGEZERA WALIOMALIZA JUZI WANALIA KUPIGA KAZI MIEZI MINNE BILA MSHAHARA YEYE ANAKULA BATA TU
 
Sasa we mwanaume mzima unashtaki panya road kwa mwanaume mwenzio,mnafanyaga watu wa dar tuonekane wa hovyo sana,kesho ufungashe urudi shambani kwenu huko,umekuja mjini umekua mbea sana.
Shambani hawez huyo ataliwa mapema tu.Mafisiwatu mengi mno huku bora na panya road.
 
Huyu mzungu naye si angesepa tu!,watu tujipigie tutakavyo,daah ameniudhi kweli.
 
Nimesoma kwenye mitandao ya kijamii taarifa za Waziri wa Mambo ya Ndani kuingilia kati na kusuluhisha mgogoro wa mwajiri (Yanga) na mwajiriwa wake kocha Pluin na kuweza kuuatutua mara moja.
Taarifa zinasema Waziri alitumia siku mbili kuzungumza na pande husika kupata suluhu.

Jambo la kusikitisha hapo ni kwamba Waziri ameacha majukumu yake kwa siku mbili na kushughulkia mgogoro wa mwajiri na mwajiriwa ambao ungeweza kupelekwa Tume ya usuluhishi na uamuzi. Huku mitaani Panya Road na Majambaz wakitamalaki na migogoro ya wakulima na wafugaji ikiendelea.

Hii ndio dhana ya kazi tu?

Punguzeni unaa
 
Nimesoma kwenye mitandao ya kijamii taarifa za Waziri wa Mambo ya Ndani kuingilia kati na kusuluhisha mgogoro wa mwajiri (Yanga) na mwajiriwa wake kocha Pluin na kuweza kuuatutua mara moja.
Taarifa zinasema Waziri alitumia siku mbili kuzungumza na pande husika kupata suluhu.

Jambo la kusikitisha hapo ni kwamba Waziri ameacha majukumu yake kwa siku mbili na kushughulkia mgogoro wa mwajiri na mwajiriwa ambao ungeweza kupelekwa Tume ya usuluhishi na uamuzi. Huku mitaani Panya Road na Majambaz wakitamalaki na migogoro ya wakulima na wafugaji ikiendelea.

Hii ndio dhana ya kazi tu?

Wanaume wa Dar bwana hao Panya road umri wao ni chini 20yrs mnawaogopa, watakuja wapigia hata wake zenu ndani nawe unawaangalia tu.
 
Nadhani ndio muda wa manji kujua lile swali alilokuwa anajiuliza nani yupo nyuma ya Mzee akilimali
 
Kapewa hio wizara baada ya kuonekana kafanya kitendo kizuri kule Arusha. Si mnakumbuka lile bomu lake huyu jamaa
 
Back
Top Bottom