Mwanadada 'aliyeruka' na Usain Bolt afunguka

Mwanadada 'aliyeruka' na Usain Bolt afunguka

Huyo Dada mjinga Na wanaume woote watamuogopa tuone atakuwa wapi...Sasa hajui kazi ya wanaume Ni Kuchomeka..anadhani kamwaibisha..Kafeli kweli awe Na Kibamia au muwa but Keshachomekwa. full stop
 
Anatengeneza jina, popularity ni kitu wengi wanakihusudu sana. Hiyo ndio njia pekee ya kumfanya awe popular, kumbuka ya Monica Lewinsky, yule aliyelala na Tiger Woods.
Hapa umechapia Mkuu Monica Lewinsky alikuwa Mali ya Bill Clinton Huyo Wa Tiger woods.. Unamjua mwenyewe
 
Wakat wenzako wako darasan wanasoma ww ulikuwa unakimbizana NA Afande Kisarika,Miraji Na Babu Chacha maporin,haya ndio matunda yake sasa.
Mkuu umesema Makongo nini..umenikumbushaa mbali sana..Babu chacha Mzee wa Totozzz
 
Hapa umechapia Mkuu Monica Lewinsky alikuwa Mali ya Bill Clinton Huyo Wa Tiger woods.. Unamjua mwenyewe
Ndio maana niliweka "mkato" then nikaandika na yule aliyelala na Woods.
 
Nikisomaga comments zako huwa najikuta naamsha amsha tu !!!! don't ask me why... Fahamu tu kwamba Kuna kitu umebarikiwa ila sijui kama unajua.
Mimi Nina wasiwasi Na Miss Na tafuta sio wa kawaida..umeona Comments zake..yaani.Kaka yangu nakuomba umPm umwonyeshe uanaume wako pengine atacool down..Historia yake unasema wkt yupo Na mpenzi akiamini angemuoa ghafra Jamaa akaja oa manzi mwingine..so lazima awe ivyo but I believe in you utamfariji.Nitasubiri mrejesho..nimekuteua Wewe Baada ya kujua Na kumwelewa she needs Full counselling
 
Mkuu umesema Makongo nini..umenikumbushaa mbali sana..Babu chacha Mzee wa Totozzz
[emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji1] [emoji3] [emoji2] [emoji1]
Yap! Nimepiga pale mkuu hao watu watatu sitawasahau milele....RIP Afande Miraji &Yeyeye walinifanya niipende shule NA niwe mkakamavu pia.
 
Mimi Nina wasiwasi Na Miss Na tafuta sio wa kawaida..umeona Comments zake..yaani.Kaka yangu nakuomba umPm umwonyeshe uanaume wako pengine atacool down..Historia yake unasema wkt yupo Na mpenzi akiamini angemuoa ghafra Jamaa akaja oa manzi mwingine..so lazima awe ivyo but I believe in you utamfariji.Nitasubiri mrejesho..nimekuteua Wewe Baada ya kujua Na kumwelewa she needs Full counselling
Nangoja ageuke mkuu...[emoji443] [emoji444] [emoji445] [emoji441] [emoji441] [emoji450]
 
doh mwanaume umwambia ana kibamia,unamaliza nguvu zake zote hahaaaaa hata kama anayo ndefu ataanza kujishuku hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kubalini tu,sio wote muwe na miguu ya mtoto,halaf ukiwa na kibamia usichepuke utaaibika,huyo bolt anajijua yeye ni famous baado anafanya ujinga,anyway naona anapresent wanaume wengi,wanaume wakipewa uhuru kidogo lets say kwenda mji mwingine kikazi,huo uhuru watataka kuexperiment vitu vingi kikiwepo vimwana.
 
Umepita pale mkuu? Palikuwa kama depo.
Makongo ilikuwa makongo kweli. Ukijifanya sister du, sijui kwenu mambo safi, miraji anakula na wewe sahani moja.

Babu chacha alikuwa mzee wa mabebz. Alikuwa anapenda sana kuja hostel kututembelea.... Teh
 
Makongo ilikuwa makongo kweli. Ukijifanya sister du, sijui kwenu mambo safi, miraji anakula na wewe sahani moja. Babu chacha alikuwa mzee wa mabebz.
Ahahhaha ubishoo NA usister duu ulikuwa unauacha getin ukishaingia ndan unakuwa kama askar....Babu NA Miraji waliweza kuichangamsha shule kwa kwel
 
Nakumbuka siku moja Kombaa (mzee wa French) alinipa adhabu eti kisa nimemuangalia.
Ahahahaha Monsieur Kombaaa...naye alikuwa ana vituko kinoma ....Kuna siku nilimkuta ofisin kwa Kipingu yuko NA mwanafunz sijui alimzingua nn....Anamwambia Kipingu amua moja abaki huyu mtoto ama mm...ahahahaha sijui waliishiaje ila jamaa lilikuwa linajiamini sana......Yuko teacher mmoja naye alikuwa mlemavu mkali wa chemistry Fm iv (nimemsahau jina) naye alikuwaga mtata kinoma....
 
Anatengeneza jina, popularity ni kitu wengi wanakihusudu sana. Hiyo ndio njia pekee ya kumfanya awe popular, kumbuka ya Monica Lewinsky, yule aliyelala na Tiger Woods.
Na alielala Na Clinton anaitwa nani.?
 
Back
Top Bottom