Nilipe nisepe
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 446
- 971
Kuna Single Mama anaenda kutengenzewa muda si mrefu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama shida ni Elimu aende akaolewe na Walimu wa shule ya msingi Wengi Wana masters Wengi tu saiv sio insue kivile Tena mtaaluma wa shule ana master halafu MKUU WA SHULE ANA DIPLOMA THIS IS BONGOSitaki kutia chumvi yoyote,
Maoni yenu ni yapi Huyu mwanadada msomi, kwa mujibu wake yeye ana elimu kubwa kuliko jamaa, ila jamaa ni form four failure mwenye pesa kuliko yeye na exposure kubwa ya biashara
👉Mwanadada anaona kama kipengele cha elimu kinapwaya
👉Now she is 27
👉Vipi amuache jamaa akatafute wasomi wenzie?View attachment 3248332
😀😀 kuna K mmoja ana 37yrs kanitishia kuwa hakuna anacholazimisha kama ninaona hanifai nimwambie. Hii ni baada ya mimi kutokuwa nampigia na kumtumia msg hata mara 2 kwa siku. Huwa namcheki jioni tu. Wakifika huo umri wanakuwa wanapata moto balaa.Akifika 37 atatafuta anayepumua.
Tuko pamoja kipenzi changuNaunga mguu hoja
Atajifinya katoto2000 kumbe limshangazi atapigika kilaini Tena mpaka na walevi wa pombe kaliNgoja afike dk za jiiiiiiioniii akili itamkaa sawa
😀😀Sitaki kutia chumvi yoyote,
Maoni yenu ni yapi Huyu mwanadada msomi, kwa mujibu wake yeye ana elimu kubwa kuliko jamaa, ila jamaa ni form four failure mwenye pesa kuliko yeye na exposure kubwa ya biashara
👉Mwanadada anaona kama kipengele cha elimu kinapwaya
👉Now she is 27
👉Vipi amuache jamaa akatafute wasomi wenzie?View attachment 3248332
WaTz ni limbukeni wa elimu. Atafute anayefikiri anaendana naye. Mahusiano ni kuelewanaSitaki kutia chumvi yoyote,
Maoni yenu ni yapi Huyu mwanadada msomi, kwa mujibu wake yeye ana elimu kubwa kuliko jamaa, ila jamaa ni form four failure mwenye pesa kuliko yeye na exposure kubwa ya biashara
👉Mwanadada anaona kama kipengele cha elimu kinapwaya
👉Now she is 27
👉Vipi amuache jamaa akatafute wasomi wenzie?View attachment 3248332
ExactlyWaTz ni limbukeni wa elimu. Atafute anayefikiri anaendana naye. Mahusiano ni kuelewana
Hii sijawahi kusikiaMbona masters ni elimu ya kawaida, watu wana PhD wanaoelewa na mlinzi wa getini na maisha yanasonga!
Sitaki kutia chumvi yoyote,
Maoni yenu ni yapi Huyu mwanadada msomi, kwa mujibu wake yeye ana elimu kubwa kuliko jamaa, ila jamaa ni form four failure mwenye pesa kuliko yeye na exposure kubwa ya biashara
👉Mwanadada anaona kama kipengele cha elimu kinapwaya
👉Now she is 27
👉Vipi amuache jamaa akatafute wasomi wenzie?View attachment 3248332
Mapenzi siku zote yakiunganishwa na Elimu, pesa, sijui chemistry, tayar hapo hakuna kitu, swali je amejua Jana kwamba huyo jamaa ni form 4?Sitaki kutia chumvi yoyote,
Maoni yenu ni yapi Huyu mwanadada msomi, kwa mujibu wake yeye ana elimu kubwa kuliko jamaa, ila jamaa ni form four failure mwenye pesa kuliko yeye na exposure kubwa ya biashara
👉Mwanadada anaona kama kipengele cha elimu kinapwaya
👉Now she is 27
👉Vipi amuache jamaa akatafute wasomi wenzie?View attachment 3248332