Multaza Hr
Member
- Jan 10, 2025
- 83
- 182
Kuandika kwenyewe hawezi je hiyo masters kaipatajeSitaki kutia chumvi yoyote,
Maoni yenu ni yapi Huyu mwanadada msomi, kwa mujibu wake yeye ana elimu kubwa kuliko jamaa, ila jamaa ni form four failure mwenye pesa kuliko yeye na exposure kubwa ya biashara
👉Mwanadada anaona kama kipengele cha elimu kinapwaya
👉Now she is 27
👉Vipi amuache jamaa akatafute wasomi wenzie?View attachment 3248332
Tayali =tayari
Yaani nawaona vilaza wawili hapo muomba ushauri na mtoa ushauri