JaffarMohammed JF-Expert Member Joined Nov 13, 2016 Posts 762 Reaction score 283 Jan 11, 2017 #101 Msishangae na wala msihuzunike. Haya yote tumeyataka wenyewe. Sasa hivi idadi ya wanawake ni zaidi ya mara mbili ya wanaume. Sasa mnategemea nini kama mmeshindwa kuwaoa kinadada hao? Wameamua wajioe wenyewe.
Msishangae na wala msihuzunike. Haya yote tumeyataka wenyewe. Sasa hivi idadi ya wanawake ni zaidi ya mara mbili ya wanaume. Sasa mnategemea nini kama mmeshindwa kuwaoa kinadada hao? Wameamua wajioe wenyewe.
JaffarMohammed JF-Expert Member Joined Nov 13, 2016 Posts 762 Reaction score 283 Jan 11, 2017 #102 Mlidhani ni mila za wazungu kufanya ujinga huu? Hapana sisi pia ni mabingwa wa kuiga!
MartinDavid JF-Expert Member Joined May 22, 2009 Posts 874 Reaction score 144 Jan 11, 2017 #103 That is is a man by 75% and female 25%.. so he can have kids..
kibhopile JF-Expert Member Joined Aug 5, 2010 Posts 1,513 Reaction score 765 Jan 11, 2017 #104 Ha ha ah haaaa these creatures [emoji23][emoji23][emoji23], anyway wanatuongezea research topics