Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Binadamu pamoja na utashi na maarifa yote aliyonayo lakini kamwe hawezi kujiongoza yeye kama yeye... Lazima kuna mahali aegame... Anapopaamini kwa namna yoyote ile moja kwa moja ama kinyume nyume! Hana utashi wa kujisimamia mwenyewe na akijaribu huishia kubaki na mkanganyiko mkubwa
UFALME WA KWANZA
Ni ufalme mama... Ufalme wa mbingu... Mamlaka ya juu kabisa kiimani katika uumbaji na utamatishaji wa chochote kilichoumbwa.... Mamlaka ya kimungu...huu ni ufalme kamili
Dunia imeumbwa na uwili.. Kila kilichopo kina mbadala wake... Kiwe chenye uhai ama kisicho na uhai.. Ni uwili asilia... Uwili mbadala... Hivyo basi ufalme wa mbingu una mbadala wake ama kinyume chake
UFALME WA PILI
Huu ni mbadala na kinyume cha ufalme wa mbingu... Unajulikana kama ufalme wa anga
Asili ya ufalme wa anga kiasili ni ufunguo wenye kukamilisha dhana ya uwili... Haupo hapa ulipo... Upo kwa ajili ya kutimilisha unabii
Ufalme wa anga ni kamilisho la hitaji la kiumbaji katika ufunuo wa roho, upo kwa ajili ya kupingana na ufalme wa mbingu... Baadhi husema ni UFALME WA NURU DHIDI YA UFALME WA GIZA
Falme hizi mbili ndio engine zinazoendesha dunia toka kuumbwa mpaka kukoma kuwa.... Toka ulimwengu wa macho mpaka ulimwengu wa roho.. Sote ni waamini na waabudu falme hizi mbili.... Kama kuna mtu anaweza kujitokeza na kwa hakika kabisa akasema yeye si mfuasi wa mojawapo kati ya hizi falme mbili, msikilize mpaka mwisho tuu... Hitimisho lake litaangukia kwenye mojawapo ya falme hizi mbili
Habari za wapinga Kristo, Freemason, atheists nk, zote zinaangukia kwenye kundi la ufalme wa anga kwa kutumia misingi na falsafa za maandiko ya ufalme wa Mbingu.... Wanaweza kuchagiza na kutoa hoja zenye kushawishi sana lakini mwisho huangukia kundi lile lile la kuwaabudu wanafizia wanafilosofia na wanazuoni kwa kutumia mabandiko yao kama mifano na vyanzo vya kuthibitisha hoja zao.,...
Kama ilivyo kwa uhai na kifo.. Hata hizi falme mbili, zinaangukia kwenye falme hai na falme mfu
Maandiko ya falme za mbingu katika ujumla wake... Kwa kesi hii Bible takatifu... Yana mwanzo lakini hayana mwisho bali mwisho wake ni kitabu cha ufunuo wa utabiri ya yajayo... Lakini falme za anga mabandiko yake yana mwanzo na yana mwisho... Yakihitimisha yamehitimisha....
Huna haja ya kubabaika na kuanza kuchagua ufalme, asili hukuchunga na kukuchagulia njia... Ni unabii na ufunuo wa aina yake... Kila mtu kila kitu kinaishi kwa kufuata miongozo ya falme hizi mbili mpaka kikomo cha tamati
Na daima tunaziishi hizi falme mbili kwa mfuatano wa ajabu, ukishika huu kidogo unachabanga nao wee inafika mahali unakuchosha na kubadili uelekeo.... Sometimes tunaswitch hizi falme mara nyingi ndani ya muda mfupi tuu.... Falme hizi ni unabii na ufunuo vilivyo juu ya utashi na maamuzi ya kibinadamu ndio maana daima tunaishi tukikigwaya kifo ila muda unapofika tunakufa na hatuna jinsi ya kukikataa kifo
UFALME WA KWANZA
Ni ufalme mama... Ufalme wa mbingu... Mamlaka ya juu kabisa kiimani katika uumbaji na utamatishaji wa chochote kilichoumbwa.... Mamlaka ya kimungu...huu ni ufalme kamili
Dunia imeumbwa na uwili.. Kila kilichopo kina mbadala wake... Kiwe chenye uhai ama kisicho na uhai.. Ni uwili asilia... Uwili mbadala... Hivyo basi ufalme wa mbingu una mbadala wake ama kinyume chake
UFALME WA PILI
Huu ni mbadala na kinyume cha ufalme wa mbingu... Unajulikana kama ufalme wa anga
Asili ya ufalme wa anga kiasili ni ufunguo wenye kukamilisha dhana ya uwili... Haupo hapa ulipo... Upo kwa ajili ya kutimilisha unabii
Ufalme wa anga ni kamilisho la hitaji la kiumbaji katika ufunuo wa roho, upo kwa ajili ya kupingana na ufalme wa mbingu... Baadhi husema ni UFALME WA NURU DHIDI YA UFALME WA GIZA
Falme hizi mbili ndio engine zinazoendesha dunia toka kuumbwa mpaka kukoma kuwa.... Toka ulimwengu wa macho mpaka ulimwengu wa roho.. Sote ni waamini na waabudu falme hizi mbili.... Kama kuna mtu anaweza kujitokeza na kwa hakika kabisa akasema yeye si mfuasi wa mojawapo kati ya hizi falme mbili, msikilize mpaka mwisho tuu... Hitimisho lake litaangukia kwenye mojawapo ya falme hizi mbili
Habari za wapinga Kristo, Freemason, atheists nk, zote zinaangukia kwenye kundi la ufalme wa anga kwa kutumia misingi na falsafa za maandiko ya ufalme wa Mbingu.... Wanaweza kuchagiza na kutoa hoja zenye kushawishi sana lakini mwisho huangukia kundi lile lile la kuwaabudu wanafizia wanafilosofia na wanazuoni kwa kutumia mabandiko yao kama mifano na vyanzo vya kuthibitisha hoja zao.,...
Kama ilivyo kwa uhai na kifo.. Hata hizi falme mbili, zinaangukia kwenye falme hai na falme mfu
Maandiko ya falme za mbingu katika ujumla wake... Kwa kesi hii Bible takatifu... Yana mwanzo lakini hayana mwisho bali mwisho wake ni kitabu cha ufunuo wa utabiri ya yajayo... Lakini falme za anga mabandiko yake yana mwanzo na yana mwisho... Yakihitimisha yamehitimisha....
Huna haja ya kubabaika na kuanza kuchagua ufalme, asili hukuchunga na kukuchagulia njia... Ni unabii na ufunuo wa aina yake... Kila mtu kila kitu kinaishi kwa kufuata miongozo ya falme hizi mbili mpaka kikomo cha tamati
Na daima tunaziishi hizi falme mbili kwa mfuatano wa ajabu, ukishika huu kidogo unachabanga nao wee inafika mahali unakuchosha na kubadili uelekeo.... Sometimes tunaswitch hizi falme mara nyingi ndani ya muda mfupi tuu.... Falme hizi ni unabii na ufunuo vilivyo juu ya utashi na maamuzi ya kibinadamu ndio maana daima tunaishi tukikigwaya kifo ila muda unapofika tunakufa na hatuna jinsi ya kukikataa kifo