Mwanafa...,mama ngwair anasubiria milioni 3 zake!!!!!!

Wewe maini ya kuku kweli!!! Show ya The Finest watu tulienjoy zaidi ya ufikiriavyo coz ilikuwa ya kishua sana maana wote waliokuja walikuwa na private transport so show ilifikia malengo

naona unajaribu kupaka rangi upepo.!!!
 
Wewe maini ya kuku kweli!!! Show ya The Finest watu tulienjoy zaidi ya ufikiriavyo coz ilikuwa ya kishua sana maana wote waliokuja walikuwa na private transport so show ilifikia malengo

We kweli maskini hivi kuwa na private car ni ushua??? Unadhani wangapi wanamiliki nyumaba zaid ya moja na hawana gari?? Sikuhz gari ni basic needs sio kipimo cha ushua hata kidogo.
 
Wewe maini ya kuku kweli!!! Show ya The Finest watu tulienjoy zaidi ya ufikiriavyo coz ilikuwa ya kishua sana maana wote waliokuja walikuwa na private transport so show ilifikia malengo

kwani Yahaya unaishi wapi.......

Private transport ndo ilikuwa lengo la show yenu!!!!!!!!!!
 
Wewe maini ya kuku kweli!!! Show ya The Finest watu tulienjoy zaidi ya ufikiriavyo coz ilikuwa ya kishua sana maana wote waliokuja walikuwa na private transport so show ilifikia malengo

wewe kweli ni masikini wa kipato na fikra leo bongo unajivunia private transport wakati mpk wauza viazi mbalizi wana private transport nowadays. Usafiri sio issue tena Bongo siku hizi hata mapolisi wanajaza parking achilia walimu wa shule za msingi na wachuuzi sokoni. Upeo wako mdogo sana unaongea utafikiri tuko miaka ya 80
 
Hv hajampelekea hyo 3m mpaka leo? MwanaFATUMA Noma bwana peleka hela ile kwa mama albert mangweha.
 
Hv hajampelekea hyo 3m mpaka leo? MwanaFATUMA Noma bwana peleka hela ile kwa mama albert mangweha.

atapeleka nini wakati pale alikuwa anavuta watu wajae....
wasiende kwa Anaconda akasahau kuwa

Riziki ya mtu haivutwi kwa kamba
 

Njoo wewe na familia yako niwahudumie ndiyo utatambua mimi ni nani mtoto mzuri.
 
Njoo wewe na familia yako niwahudumie ndiyo utatambua mimi ni nani mtoto mzuri.

siongei na kivuli mimi umeshaonyesha upeo mdogo sana eti watu walikuja na private transport, hivi bongo ya leo ni mtu kushangaa mtu kuwa na private transport kweli. Una walakini ww sio bure na kwa taarifa yako watu wote wanaoenda kwenye starehe usiku bongo wana private transport sio issue tena bongo ndg yangu. Mie wala sina haja ya ku-argue na wewe kichwa cha panzi na lazima utakuwa choka mbaya ndio maana umeona private transport deal sana
 
Naskia Jamaa mwanafatuma ni victim anakula ARV ya kweli hayo?
 
..................................umeandika wewe lakini aibu nasikia mimi!!!!!!!!

Mi nilipoona aibu sanani pale kwenye puraivet transport kama kiashirio cha malengo kufikiwa!
nimetamani kuficha macho yangu mwenywe ujue!
 
Hii ilikua ahadi ya MwanaFa kwamba asilimia 15 ya mapato ya shoo yake itaenda kwa mama Albert Mangweha.
Kama target ilikua watazamaji 400 na tukatangaziwa kwamba tiketi zimeisha....
i.e 400 * 50,000=20,000,000

15/100 * 20,000,000 = 3,000,000
*Yaani ni lazima apeleke pesa alizoahidi kwa kweli maana aliahidi mwenyewe na ikiwezekana afanye kama alivyofanya KALA JEREMIAH kwa kupeleka TUZO kama heshima na pesa kidogo kwa ajili ya MAMA mzazi wa ALBERT
 
kwani hizi hela tunazisindikiza lini? Nshazishonea sare.
*Kama vipi atafutwe kokote pale alipo ili aseme ni lini japo anaugulia maumivu lakini pesa alizoahidi zipelekwe tena King'asti andaa listi ya wataokwenda pia naomba usinisahau jina langu kwenye huu msafara wa kwenda kumpa pole MAMA ALBERT
 
Mwanaume akageuzwa binti.. na binti Akawa komando a.k.a nyoka mkubwa akawameza wote yeye na show yake so...jide labda amkopeshe ili mama ngwear spate 15%....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…