Unadhania tu mkuu. Mimi mkarimu hujapata kuona mfano wake. Sijui ndiyo maana picha huwa hazitoki!??Uchoyo tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhania tu mkuu. Mimi mkarimu hujapata kuona mfano wake. Sijui ndiyo maana picha huwa hazitoki!??Uchoyo tuu
#acha uchoyo uende mbinguni #Unadhania tu mkuu. Mimi mkarimu hujapata kuona mfano wake. Sijui ndiyo maana picha huwa hazitoki!??
Ngoja nitafute ila ni zaidi ya kukumicBabake mtoto mzuri, hebu tafuta msamiati mpya eti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndivyo mnavyodanganya watoto eehJina lako halisi ni lipi?!
Umri wako tafadhali...
Picha yako halisi
Namba zako za simu..
Karibu sana JF
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mgeni huyu kibokoMhhhhhh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mgeni huyu kiboko
Umemponza uhuru kwake kwa sasa ni....Karibu sana JF mdogo wangu!
Sawa mtatuzi, ila cheza vizur usitatue marinda.Mm Ni mpekukuz Sana Wa mitandao huwa natafutaga ufumbuz Wa maswala mbali mbali haswa ya kibiashara n.k so huwaga naona watu wengi hutatua mambo yao kupitia hii blog so nkaona bora nijiunge