Mwanafunzi afariki nyumbani kwa mpenzi wake

Mwanafunzi afariki nyumbani kwa mpenzi wake

Mbususu ziendelee kuliwa hiyo ni ajali kama ajali zngine kwani basi likipinduka ndo watu waache usafiri?

Je, huko migodini au ni wapi hakuña ajali? Angaliźo ACHENI MATUMIZI YA MADAWA ÝA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME
 
Huyu bwana huwa anasema humu na kuwashauri vijana wenzie waikatae taasisi ya ndoa kwamba ni utapeli.

Vijana watapona vipi ikiwa wake hawana?
Sasa mkuu kwani ngono ni hitaji muhimu kama ilivyo kwa chakula?

Mbona inawezekana.

Kwa upande wangu kama unaweza kujizuia KATAA NDOA, kama huwezi OA.

Lakini ukwel ni kwamba kwenye NDOA KUNA CHANGAMOTO LUKUKI.(1 wakorintho 7:28)
 
Mbususu ziendelee kuliwa hiyo ni ajali kama ajali zngine kwani basi likipinduka ndo watu waache usafiri?

Je, huko migodini au ni wapi hakuña ajali? Angaliźo ACHENI MATUMIZI YA MADAWA ÝA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME
Kwahiyo unataka kusema chanzo cha kifo ni vumbi la kongo ama??? [emoji38][emoji38]
 
Sasa mkuu kwani ngono ni hitaji muhimu kama ilivyo kwa chakula?

Mbona inawezekana.

Kwa upande wangu kama unaweza kujizuia KATAA NDOA, kama huwezi OA.


Lakini ukwel ni kwamba kwenye NDOA KUNA CHANGAMOTO LUKUKI.(1 wakorintho 7:28)
Upo sahihi kama unaweza kujizuia usiowe na usipige punyeto pia!

Mimi nipo kwenye ndoa now 10+ yrz unadhani changamoto sizioni?baba zetu baba yako akiwepo hizo changamoto unazoziona wewe leo usiejua ABCs za ndoa wao unadhani hawakuziona?
 
Upo sahihi kama unaweza kujizuia usiowe na usipige punyeto pia!

Mimi nipo kwenye ndoa now 10+ yrz unadhani changamoto sizioni?baba zetu baba yako akiwepo hizo changamoto unazoziona wewe leo usiejua ABCs za ndoa wao unadhani hawakuziona?
Nisijue sana, lakin kwa ninachokiona kwetu mmmmh bora kutokuoa aiseee.
 
Back
Top Bottom