Mwanafunzi ajaribu kujiua kwa kujikata tumbo baada ya kudaiwa kumuua mwenzake

Mimi wakati niko chuo niliachana kabisa na huu ujinga. Maana niliona madhara yake mapema.

Wanafunzi, chonde chonde!! Wekezeni nguvu zenu katika masomo. Haya mapenzi yapo tu!

Muoneni sasa huyu mwenzenu! Ndoto zake zote zimeshaharibika kwa sababu tu ya kuchanganya masomo na mapenzi.
 
Acha wauane, na wata uana sana, na badooo. Wao mapenzi ni bora kuliko chochote, wafe tyuuh.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ninaongelea kitu kimoja kama mtanielewa ni hivi !! Mapenzi yako overrated sana haswa maeneo ya chuoni hata elimu ya chuo sasa watu wako na ushamba wakifika wanajiona ndo wamemaliza Maisha yaani vi miaka 4-5 unajikuta unajua mambo mengi sana...eti kuwa chuo bila ya demu haiwezekani? Vijana kutoka kijijini anafikria ivyo kafika dar anajikuta kamaliza Maisha kabisa!!

Chuo unaweza kuwa uko serious na mambo yako huna kesi na mtu ,kwa mtazamo wangu makazini miaka ijayo visa ya mapenzi vitakuwa vingi mno watu kumalizana maana hao wanafunzi ndo wafanyakazi wa baadae
 
Makazini vilishakuwa vingi ila hawauani physically wanarogana na kuchomeshana ila tunakoenda ht huko watu watakuwa na vipanga vyao kwenye droo za ofisi
 
Makazini vilishakuwa vingi ila hawauani physically wanarogana na kuchomeshana ila tunakoenda ht huko watu watakuwa na vipanga vyao kwenye droo za ofisi
Kazini ni balaa yaani ....kwa kizazi hiki mkuu utoto utakuwa mwingi makazini miaka ijayo itakuja sikia " mkurugenzi kamuua mpenzi wake kisa wivu wa mapenzi" miaka ijayo hyo
 
Kazini ni balaa yaani ....kwa kizazi hiki mkuu utoto utakuwa mwingi makazini miaka ijayo itakuja sikia " mkurugenzi kamuua mpenzi wake kisa wivu wa mapenzi" miaka ijayo hyo
Shida iko hapa.
Mmoja anapokuwa anahitajiwa na kupendwa Sana na watu na upande wa pili nigga bebe hazina mpango nae hapa lazima kitokee kitu.
Sumu mmoja kupendwa Sana na watu wapembeni, chuki na wivu lazima vije.
 
Exactly hua nashangaa sana inakuaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…