Mwanafunzi ajaribu kujiua kwa kujikata tumbo baada ya kudaiwa kumuua mwenzake

Mwanafunzi ajaribu kujiua kwa kujikata tumbo baada ya kudaiwa kumuua mwenzake

KUTOKA NA TUTOTO TWA MIAKA CHINI YA 29, NI KUJITAFUTIA MATATIZO.
KUWA SALAMA KWA KUTOKA NA MAMA ZAO.
UTANISHUKURU BAADAYE
 
Ona sasa!!!

Si niliwaambia! Wana wakaniona chizi.
 
Mimi nadhani sio binadamu wa kawaida ...na miaka yangu hii 23 sijawahi fall in love wala sijawahi mpenda mwanamke yoyote...I see them nothing to me..
Mniombee tu..

Lakin watu mpaka wanauana kisa wivu ? Mimi huwa nishangaa sana

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hawafai,Kuna jamaa yangu aliwapenda Sana wanawake,wakamtenda na juzi hapa amekufa kwa Ngoma
 
Ipo haja ya kuwa na wizara ya mapenzi na ndoa.
 
kizazi cha nyoka yaani hivi vitoto vya juzi tu vikishaota matiti tu na tumatako baaasi kazi ni moja kunyanduana tu hakuna anayesikia la mzazi wala mwalimu , ndio matokeo ya kizazi kilichoshindikana haya , kwakweli kuna jambo la kujifunza sana hapa hasaa kwa wazazi, imekua toomuch, na by the way minyapu ilivyojaa unahangaika nini na kuua mtu kisa utelezi
 
Ukiwa maskini hata miaka 70 utakuwa bado huwezi kupenda. Umaskini ni hatari kwa uhai na maisha ya binadamu, huharibu kila kitu, umaskini ni hatari kuliko kitu chochote kile, fanyeni bidii sana muushinde umaskini.
 
wakina mama wapendeni watoto wenu wa kiume,ili muipore nafasi ambayo inaweza chukuliwa na mabinti wanaopelekwa na upepo wa wa kisasa.

wababa wapendeni mabinti zenu na kuwajali ili kuziba mianya ya vijana wa hovyo kuja kuwavuruga na kuwapeleka mbio.

hakuna jambo baya kama kupigwa tukio na mpenzi ambaye hana mbadala moyoni.
Na hii kutokuwa na mbadala ndiyo inatupoteza wanaume, Kuna muda si kwamba umempenda saaana mwanamke la hasha, sema unakuwa upo na huyo huyo mmoja kiasi unafikiria akiondoka uta struggle kupata mwingine.
 
Back
Top Bottom