Mwanafunzi alivyosababisha Vita Kuu ya kwanza ya Dunia


Movie mpya wema Uko wapi?
 
Planet.

Acha roho ya kwanini kwanini? Mbona ikiandikwa gari limepata ajali na waliokufa ni watu sita na mmasai mmoja hulalamikagi... Au mmasai c ntuuu? Acha hizo. Guud history. me mwenyewe nilikua sijui kama chanzo cha vita ni mwanafunzi.
 
Planet.

Acha roho ya kwanini kwanini? Mbona ikiandikwa gari limepata ajali na waliokufa ni watu sita na mmasai mmoja hulalamikagi... Au mmasai c ntuuu? Acha hizo. Guud history. me mwenyewe nilikua sijui kama chanzo cha vita ni mwanafunzi.

Mkuu, watu wa ainahiyo tuponao wengi hapa jf. Kubwa huwa tunawapotezea tu, then maisha yanaendelea
 
ushiboy; Asante sana kwa kipande hiki ingawa sijui umekitoa wapi. Mimi siyo mwanahistoria ila ninapenda sana historia nikiwa mtu wa kwanza kupigania jukwaa hili kuundwa hapa JF. Nimeifurahia sana article yako hii
 
Last edited by a moderator:
ushiboy; Asante sana kwa kipande hiki ingawa sijui umekitoa wapi. Mimi siyo mwanahistoria ila ninapenda sana historia nikiwa mtu wa kwanza kupigania jukwaa hili kuundwa hapa JF. Nimeifurahia sana article yako hii

Na wavunja mioyo pia wapo Kichuguu, sababu watu wa kuvunja moyo kutafuta makosa tu. Na chakushangaza watu wa aina hiyo badala ya kufanya marekebisho ili tusonge, basi wao kufanya kejeli na dhihaka.
Anyway, kubwa hapa jf ni kuvumiliana ili tusonge.
Asante sana Kichuguu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…